kuna shughuli ya kutangaza mshindi wa urais,zoezi linaendelea hapa viwanja vya karimjee,
ila nasikitika baada ya watu kususa kupiga kura pia wamesusa kuhudhuria sherehe za kumtangaza mshindi.
Wana JF nipo hapa eneo la tukio viti ni vitupu hakuna watu wa kutosha ila mpaka sasa wagombea...
wana JF ndugu zangu mie nimekuja habari mpya ya jinsi JK alivyouza kigamboni yote kwa bush. naomba mjionee wenyewe.
nawatumia pia program ya kuwezesha kutazama picha hiyo kama utakwama.
AMKA NCHI INAUZWA NA CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.