Search results

  1. Utotole

    Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

    Ugaidi mbona ulianza JPM akiwa mwenyekiti wa SADC, alifanya nini?
  2. Utotole

    NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

    Unaanzishaje research bila pesa? Wadau wa kusupport ninaamini unamaanisha funding agencies. Kama ni hao, basi wao hucirculate calls for funding opportunity, na zinakuwa zinasema wanataka kutoa pesa kwenye tafiti za uelekeo fulani. Ni jukumu lako kupima interests zako na competency individually...
  3. Utotole

    NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

    Issue si watu sahihi. Watu sahihi naamini wapo, unless uwe na uhakika kuwa hawapo. Je, taasisi imewezeshwa kiasi gani kufanya tafiti zenye kuleta matokeo mnayoyataka? Je, mwenye taasisi yeye anataka matokeo gani na ameyagharamia kiasi gani? Matokeo makubwa hayawezi kuja kwa kuyatamani tu.
  4. Utotole

    NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

    Nijuavyo, programmatic activities za malaria zipo chini ya NMCP na hizo za matende na kichocho zipo chini ya NTDCP. Hivyo ni vitengo vya wizara ya Afya, na siyo NIMR. Hivyo kusema NIMR wanatuma pesa za miradi ya malaria na matende ni sababu ya kutofahamu ukweli. Yaani ni kama mtu kasimuliwa tu...
  5. Utotole

    NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

    Wataalam wa Muhimbili wangepata dawa ya korona?
  6. Utotole

    NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

    Wewe sasa ni marehemu. Haukuomba chochote, au una maana baada ya kunywa kachumbari tulipofika?
  7. Utotole

    NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

    Inaelekea haujui kitu eneo hilo
  8. Utotole

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    Umejuaje huyo Babra ndio pisi kali na huyo fundi ndio Mo Dewji..na hicho chombo (pisi kali) inahusiana vipi na huyo Fundi? Hapo naona ninyi ndio mnaleta tafsiri zenu mnataja na majina ya watu halafu mnasingizia redio
  9. Utotole

    Ukweli mchungu: Hutavuka mpaka wa Tanzania bila kupata chanjo ya COVID-19

    "Msema kweli ni mpenzi wa Mungu"
  10. Utotole

    Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

    Jeshi letu la polisi na mahakama zetu walimwuliza hilo swali? Au wao.hawajui? Ingekuwa vizuri ungelisaidia jeshi la polisi maana una taarifa za kutosha
  11. Utotole

    Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

    Iwe hivyo, chama kitakuwa kimetimiza wajibu wake. Watasalia kuwa wabunge wa Mahakama/CCM/Serikali, maana serikali ndiyo inawahitaji zaidi
  12. Utotole

    Oppo ana copy sana kwa iPhone

    Apple (Appo)vs Oppo Hata majina yanafanana. Hiyo si bahati mbaya.
  13. Utotole

    Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

    Kura za mbunge na Rais zinakwenda kuchanganywa Jimboni ndipo jumla inapatikana.Kwa hiyo hizo zinatafutiwa namna ya kuingizwa tu mahali husika. Kama tume imeweza kuzitoa nje ya mfumo wake, itashindwaje kuziingiza? Hiyo mbona kitu rahisi sana?
  14. Utotole

    Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

    Na sababu yako ni hiyo hiyo ya kutoweka mawakala au nyingine?
  15. Utotole

    Kwa niliyoyashuhudia katika Uchaguzi huu, Poleni viongozi wa Upinzani

    Yule kiongozi mkubwa kabisa anayetishia wananchi waliochagua wabunge na madiwani wa upinzani yeye ana IQ ya level gani? Naomba kueleweshwa.
  16. Utotole

    Uchaguzi 2020 Kuamini kwamba Lissu alisafiri angani kutumia helikopta bila kibali cha TCAA ni kujidanganya sana!

    Mkuu, kama ni suala la uongo, hata mgombea aliyeko madarakani ameshasema uongo mara nyingi sana hadi ninaelekea kuamini kuwa hakuna mwanasiasa asiyekuwa mwongo
  17. Utotole

    Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba: Kura sio siri tena

    Kila ballot in serial number, na namba hiyo hiyo ipo kwenye kishina. Linking is easy kama kweli nia ipo.
  18. Utotole

    Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba: Kura sio siri tena

    Idadi inaweza kuwa ndogo, lakini subiri matokeo sasa. Zile kura za nyongeza zitahakikisha watanzania milioni 30 wamepiga kura
Back
Top Bottom