Poleni na kitu cha ajabu kimenitokea jioni hii baada ya JF kurudi hewani. Ile nafungua tovuti ya JF ikanionyesha nime-sign in automatically bali jina la mwanaJF mwingine - niliweza ku-access account yake yaani notifications, inbox na kutuma new posts. Nikasign out na kuingia kwa jina langu. Hili...
wachawi wao, magaidi wao, chuki wao, kubebwa wabebwe wao serikalini ila mtu kama huna akili huna. tuwekeeni cv ya sheikh wao hata moja tuone, kitu madrasa kuzaliwa hadi kufa.
Yaani umefika kabisa, malaika wa bwana kaniambia wewe utakuwa wangu nami wako. Sitokuangusha wala kuwa na tamaa za Aston martin wakati uwezo wetu ni VW. Nitaahidi kukupenda kwa dhati mpaka mwisho wa dahari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.