Watoto wa udsm mnajipa sifa za kijinga mnamaliza shule kichwani mpo kawaida sana, mmeshindwa kutengeneza tomato, angalieni vyuo kama makelele wametengeneza gari, nyie mnakalia udsm noma noma, ndo maana mnaishia forever living
Wakigoma na kuchukua posho ndo nitajua kweli wanauchungu na nchi yao, ila kama wanaendelea kuweka dole gumba kwenye karatasi za pesa ni wahuni tu kama wahuni wengine
Dah! mtu kama wewe unaona ni bora taifa lipoteze nguvu kazi kwa sababu ya madawa ya kulevya, kupitisha pembe za tembo, ni ngumu kupata mpinzani wa kweli hapa africa, sasa naanza kumuelewa lasswel kuhusu wanasiasa wa matumbo yao
jamaa angefaa kwenye uongozi huu sema umri tu umeenda, nakumbuka alivyo kua mkuu wa mkoa wa shinyanga watu walinyooka, kuingia ofisi yoyote ghafla ni kawaida kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.