sidhani kama kumuacha ndo the best soltn...nnachoamini alifanya vyote hivyo ili aweze kukusaidia ww uanze bsnez kama anakuacha ndan asbhi na akirud anakukuta unafkiri anafurahia kuwa na mume wa namna hiyoooo.........my advice..as long as hawapo tena pamoja its gud news wote mnakuwa na a fresh...
pole,haina haja ya kwenda na mtu yeyote as long as u know what u want....kuwa mstaarabu nendawasikilize wakikupa nafasi ya kuongea waeleze unachokitaka.....
hata usimuache....mwanaume atakusumbuaje kirahc hvyo cha msingi kila mtu acontrol invstment yake kwenye mtoto mnapangiana tu kwa mwez anatumia kiasi gan mnajua mnatoaje wala hata asikusumbue.kama mnacontrol invstmnt nyingine pamoja mahesabu yanaonekana kila mtu anachukua yake as long as amekuwa...
mmmmmh hafai mwanaume huyo ana roho ya mauaji.....mtu gan anaekana ukwel bila aibu..i can imagn.Honestly hafai AIBU na MAISHA YA BAADAYE YASIO NA AMANI bora kipi?Angekuwa kwel anampenda atleast angeongea ukwel yaishe as long as hakuball.........akae nae mbal
kufanya kosa sio kosa ila kurudia kosa ndio kosa......mambo ya kumhurumia achana nayo kama unampenda kuwa nae otherwise let her go.
kwan wewe hujawaah kuwa na mwngne wkti upo nae ......?
kaa nae umueleze unavyojickia na umtell kashakuwa mkubwa she should take care of herself mambo ya oficn asilete nyumbani kabisa period......well kuhusu salon na nguo kilakitu mnakaa mnapanga budget ya pesa zenu ipi iende wap na ifanye nin...may be u are the problem mtashindwanaje vitu kama hvyo
unajua ukimzoea mtu unashindwa kumwambia ukwel....hapo anataka uage wewe ili badae usiseme yeye ndo alikuacha.....in short kakuchoka lakini my advice....dont make it easy for him fanya kaz tafuta pesa kwa sasa u treat him da way anvyokutreat cku akitaka na wewe hujickiii.....
Usitafute hata maana hutapata umri ukienda utachkua yoyote yule atakayekubali kuolewa na babu au.....chkua m1 ambae kwa akili tu na sio moyo unaona ana vigezo unavyoona vinafaa oa intime u will learn to love her otherwise u are doomed
mmmmh hebu ulizia athari za kuwa na govi halafu upime na mila zenu then utaamua....coz hata ukipata mwingine akiona utamshtua atahisi hauko sawa na hata kuelewa unless otherwise umchkue kijijini kwenu.....
Wewe labda ndo unampenda ila mwenziooo walaaa coz ingekuwa hivyo angekuoa wewe.....he is not yours tafuta wako.
U leaving da office inaonyesha how weak u are....kwanza unataka kuacha kaz kisa mtu mmmmmh pity.Pray HARDER hilo ni pepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.