Sure jaribu kutest nje.tafuta kabinti kazuri kanakovutia hata kama ni Malaya then uchek.kama unajifanya mlokole imekula kwako.wife wako atachezea sana.maana inaonekana anapenda ako Ka mchezo ndo maana akuvumilii
Jamaa ana shida jamani? Ila kinachouma ni kwamba mke hatambui mchango wake? Kama still anajifanya atambui umuhimu wako.pigs chini mkuu.tatizo letu tunajifanya tunawaheshimu.watoto wakati we we unaishi maisha yasiyo na furaha.piga chini kaka.the whole family.au jikaze kiume usilalamike....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.