Naona kwa makusudi kabisa Mwanakijiji hutaki kuangalia haki ya Bunge kuingiliwa. Unajenga hoja kwamba kuingiliwa kwa Bunge na mahakama ni sawa kwa sababu bunge limevuka mipaka. Mipaka ipi bunge limevuka, sheria gani bunge limevunja?
Kama mahakama ilikuwa inajua na kuheshimu Bunge na katiba...
Mkuu, Hasante sana kwa maangalizo yako.
hilo eneo la maji na gharama za umeme ni maeneo ambayo sijapata taharifa za kutosha.
Hayo yalikuwa makisio kutoka kwa watalaamu "kiboko.co.tz". Tena na wao walikosea kwenye bei ya ndoo moja ya maji. Beo yao waliweka ni TZS 50 wakati kuna mdau mwingine...
Mkuu Pachanya,
Hasante kwa mchango wako, hii inaongeza matumaini kwamba inawezekana kufanya hii biashara na ukapata faida.
Na kama ulivyosema kuhusu "Kumbuka kuku wengi hupunguza gharama". Katika hili la kuku wengi na kupunguza gharama ndio eneo ambalo linahitaji majaribio zaidi au michango...
Habari wandugu:
Nimejaribu kufuatilia mjadala toka mwanzo, lakini nikiri kwamba kuna uwezekano mkubwa kuna pages sijasoma.
Nimekuwa na hamu ya kuanza hii shughuli ya ufugaji wa kuku wa kisasa wa NYAMA. Na kwa msaada wenu nimeweza kuchanganua kwa kadri niliyoweza na data nilizozipata humu na...
Da, kwanza hasanteni sana wote kwa michango yenu. Nimesoma toka mwanzo paka hapa nilipokutana na hii statement ya Findi Mchundo kusema kwamba sasa amekwishakuwa mtu mzima. Kwa kweli hamu yote ya kujenga nyumba imeniishia Kwa maana nilikuwa naenda nasoma nikitegemea nitakuta namba yako ya simu...
Najaribu kuchokoza mada tu, Kwa nini Serikali imemwacha Wasira akisambaza chuki bila kumchukulia hatua yoyote?
Nikutumia logic ya jibu lako hapo juu, je serikali wasifanye lolote pia kwa huyu Sheikh na uchochezi wake labda wa makusudi au wa ujinga (bila yeye kujua)? Watuachie wenyewe sisi kina...
Kuna mengi ya kujifunza katika hii mada, hasante wachangijai na muanzishaji. Hapo juu umesema kuna waongo ni kina nani na uwongo wao ni upi? Dhumuni la swali langu ni mambo mawili nahisi labda maswali yako kwa Mohamedi Said tayari yalikuwa yamejengwa katika dhana kwamba ni muongo au kwamba...
Swadakta, nakubaliana na wewe kabisa, kama wanaweza kutoa passport kwa baadhi ya watanzania ambao faida zake wote tunaziona kwa nini tushindwe kuruhusu dual citizenship?
Hawa wanaopinga paka dakika hii wao wanapinga tu lakini hawaleti hoja za mashiko za kwa nini wanapinga.
Tusipindishe issue kwa sababu tu tunataka kupindisha. Kwa sheria ya sasa ya uraia huwezi kuwa na uraia wa nchi mbili unapofikisha miaka 18. Ndio maana kuna haja ya kuibadirisha sheria kwa sababu hakuna sababu yoyote ya maana ya kumvua mtu uraia wake wa asili (Tanzania) kwa sababu tu ameomba...
Faida ni kama tunazozipata kutoka kwa Kikwete, Lowasa, Membe, The Comedy, Nzi, ETM, Mwanakiji na wengine wanaotuletea faida kama watanzania. Na ndio hizo faida wanaweza kuzileta hata sasa. Lakini kwa sheria zilizopo mara tu watakapokuwa na uraia wa nchi nyigine hawataweza tena kuwa Raisi au...
Kwanza kabisa kuna tofauti kati ya Uzawa,/Utaifa, Uraia, na ukaazi. Kwenye hili, Watanzania wazawa wanataka kuwa na haki ya kuwa raia wa nchi nyingine bila kupoteza uzawa/utaifa na uraia wao wa Tanzania.
Si kwamba Wamarekani au Waingereza au Wakenya wanataka Tanzania turuhusu uraia wa nchi...
Wizara hazina huwajibikaji kabisa. Waziri anamiliki Tanpower Resources halafu anawaambia Stamico wasilipe deni hili kampuni yake iweze kuchukua tenda. Huyu aende na maji tu.
Ufafanuzi:
Anayetajwa hapa si Waziri wa sasa ni Daniel Yona, alipokua Waziri wa Nishati na Madini, na alikua yeye na...
Msaada tutani: Mwanakijiji unaweza kutusaidia kupata waraka ya "Sanifu Usanisi wa Ujasiriamali wa Kijamii" iliyofanywa au aandikwa na huyo bwana Mose. Natanguliza shukrani zangu. Naendelea kuusoma FYDP.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.