ni kweli lazima mtu anapo karibia kufa anachangamka kwa sababu huko tunako kwenda ni kuzuri sana, hakuna magojwa, wala kuugua hakuna kula, hakuna kuvaa, ni kuzuri sana sana tuta vaa mwili wa kiroho spiritual body usiyo haribika tutaepukana na tabu za Dunia hii bibilia inatuambia wazi nyumbani...
Kweli nimeamini watanzania tumelishwa limbwata na aliye tulisha alifariki tunaushabikia ujinga tu ni nchi ya kwanza dunuani kuwa na mawazo ya kimo cha zakayo
Hawa viongozi wabovu, hawafai hata kidogo,wanadumaaza nchi ni wezi karibu wote ni kama ukoo wa panya,panya ni mwizi kutoka tumboni mwa mama yake inakuwa na damu ya wizi,panya wanaishi kwa kuiba babu mwizi, baba mpaka wajukuu ni wezi thithim wanakauli nzuri sana wanajifanya wanatetea wananchi...
nyie msimtee huyo Mchungaji ni mwizi mzoefu,tu mwogope mungu jamaani, sadaka za watu wanatoa kwa Machozi yeye anaiba,Mtoa mada haja kosea ana Video camera cct-Tv camera ngoja warushe muone kazi yake wanavyo sosomola hela za Kanisa tena hana elimu Kabisa Mchungaji huyo sifuri kabisa darasa la 7...
unanichekesha sana,sasa ww ulitaka akulize nini kadi ya mtoto ya clinic? hizo ni taratibu za traffic hakuna Gari ambalo utanunua bila kadi,au una kaa Malawi?
asilimia kubwa ya wasichana ni vicheche wazoefu wanapenda sana kuunganisha vikojoleo kupita kiasi,yeye ndiyo ana shawishi hiyo kazi, sasa utamwamini Vipi :A S 465::A S embarassed:
sisi sote huko ni nyumbani tuna kwenda kwa zamu,kifo tunatembea nacho ndugu,Mungu alichotufumba hatujui kabisa yanayo tokea mbele yetu,mwanadamu aliye zaliwa na mwanamke siku zake za kuishi duniani si nyingi hata ungekuwa maarufu kiasi gani mavumbini tutarejea.
tunawaombea wana familia Mungu...
ili kuepusha vita ni bora chadema ,mkajitoa tumeona mfano halisi Jimbo la kalenga iringa, tumeona Vita Ndani ya Nchi yetu hakuna Amani hata kidogo,watu wanauana,kuchomana visu,kudhalilishana, kutekwa na mambo mengi ya kutisha,vyama si kama Simba na Yanga,watanzania sisi ni mbumbumbu kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.