Jambo la kusikitisha na la kuumiza na linalokwenda kinyume na utendaji wa kazi ni pale viongozi waliopewa nafasi kuzitumia isivyo kwa wafanyakazi wenzao. Hii imetokea leo bandari ya Dar es Salaam eti tangazo linatolewa kuwa wafanyakazi wote wa bandari mtakatwa mishahara yenu kwa ajili ya...
Ni public kwa mtazamo wako lakini kwa wengine ni individual, na ndio maana wengine ukimzingua tu anakimbilia sehemu nyngine tena kwa haraka pasipo kulegea. Cha muhimu ni kujitambua una wajibu gani kwa jamii inayokuzunguka na unaitimizia nini kwa wakati muafaka.Kwa jamii iliyo kubwa ni kuona...
Chaguo la kutaka serikali 3 lilionekana kuungwa mkono na wananchi wengi ndio maana Jaji Warioba na kamati yake wakaangushia ndani ya rasimu, vinginevyo tusikilizie woga wa watu mara gharama, eti kuvunjika muungano n.k hivyo vyote vina mipaka yake namna ya kuvitatua! usiogope gharama nchi zina...
Asijidanganye kukanyaga UDOM maana hata kwenye magari ya wafanyakazi wana hasira naye kwamba ni msaliti, inaonekana jambo lake limewaudhi wengi sana. Angejua mapema madhara yake, angekaa kimya! Linalouma zaidi ni kutetewa na wanachama wa chama kingine! AJABUUUUUUU KABISAAAAAA!
Ni heshima kujistiri mwili wako, maana kuonesha maungo yako ni aibu kwa wanaokuona na hata kwa wazazi. Kikubwa zaidi ni mtu kujiheshimu mwenyewe na kutunza utu wake sio mpaka uwekewe sheria na vipingamizi kibao! Ahsante sana!
Tunashukuru kwa data hizo, ila ungetusaidia kufahamu hawa uliotaja wako wapi ikiwezekana katika kulitumikia taifa aliloacha Mwl. ili wengine tujue taifa aliloacha mwl linaendelezwa na kizazi chache au vinginevyo!
Mchakamchaka chinja ali selema alija!! Hiyo ndiyo kuelimika zaidi maana ukiona dhuruma inatendeka na umesoma huchukui hatua yoyote elimu haijakusaidia. Kwa hali hiyo elimu imewasaidia kwa kuwa wametambua uozo wa viongozi wao.
Ni haki yao kuidai maana wakimaliza huko watakuja kukutana na 8%...
Mi napenda nifike mwenyewe ktk eneo la tukio angalau nipate hata kimoja baada ya kuona wengine ni akina Tomaso mpaka kuona ndio pesa inatolewa. Unaonaje kwa hilo?
Mdharau mwiba mguu huota tende, viongozi wasikae kimya kwa hili tena askari waamke kwa hali zote wahusika wakamatwe na wasiwachekee na kuanza kuwabembeleza kama vile wanatoa posa kwa mabinti wao. Inauma sana tena sana Mungu isaidie sana Tanzania maana viongozi wanajifanya wamevaa miwani ya mbao.
Mi nawakoromea warudishe hizo pesa wao wenyewe, na wafunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumi tena wakamatwe kabla hawajacheza mchezo wa kama Balali.Polisi kakamateni wezi hao CAG ameshawatambulisha mwizi mnasubiri nini jamani? wakati mkisikia tu kibaka anakimbia na kuku mnatamani kupiga hata...
Naomba msaada kwa yeyote anayejua kuhusu namna ya kutibu ugonjwa wa Arthritis ktk miguu hasa magotini inasababishwa na mambo gani na dawa yake ni nini hasa. Ahsanteni sana kwa mawazo yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.