Hili janga la mafuta Sasa ni jipu kubwa karudia tabia ya kuficha mafuta kama alivyofanya kwenye sukari Enzi zile. Ufisadi Sasa hivi ni wa watu wachache Sana, raisi wetu mtarajiwa ni majaaaliwa.
Hivi wewe ulieweka huu uzi upo Sawa sana me naona umelewa na rangi ya kijani kichwani kwako eti tumekinai maendeleo loh! Wakati Kenya [emoji1139] ELECTRIC TRAIN [emoji579] imejengwa kitambo tu munafurahia Mali zitakapo enda huko Rwanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.