JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo
(TaSUBa)
Simu: 0255 023 2440032
Fax: 0255 023 2440149
Barua pepe:taasisisanaa@gmail.com
Tuvuti: www.tasuba.ac.tz
Unapojibu tafadhali taja:
Kumb. Na...
Nawasalimuni nyote!!
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikijipigania lau niweze kujilipia hata kozi ya cheti pale chuo cha sanaa Bagamoyo lakini kumbe mipango si matumizi.
Kwa kipato changu nimeshidwa kabisaaa, kujiwekea akiba ili nikajisomeshe, lakini natamani sana na ninapenda sana nikasome ili cku...
jamani hakuna kazi ngumu kama kumfanya mtu mwenyestress zake kucheka, katika sanaa zote ya uchekeshaji ndio ngumu, na ndio maana unaona haina wachekeshaji, yaani kiujumla wachekeshaji waliopo Tanzania wanahesabika
Yeleeee uwiiiii, mie mume wangu wkt ananioa tulikua tunakalia ndoo za maji kama stuli, TV yetu ya chogo juu ya cret ya coca!! But now....yoooo God is good.... Badili mtizamo wako shost
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.