Jana nimesikiliza taarifa ya habari sikusikia mketo akitaja jina la Lipumba, nilichosikia Ni kwamba wanakaribisha wanachama wa CUF wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali wajitokeze kuchukua fomu. Baadae ya hapo wagombea watakaopitishwa na CUF watapambanishwa na wagombea toka vyama vingine kumpata...
jamani leo nimekasirika kuliko maelezo kweli mtu anatetea wamisri na kuwaacha watanzania? kwa kweli huyu hafai kabisa kuwepo hata tanzania mi naona ni bora ahamie hukohuko kwa.waarabu
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship zangu nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira kwa kisingizio cha kuwaumiza. Na mara nyingi Mwanaume asipo kuwa na msimamo katika matumizi ya condom basi matumizi huishia hapo Na kuwa kavu kavu, kikubwa wanachojali ni Mimba tu so...
Jamani siku hizi wakina dada na akina mama wanaonekana hawana aibu kabisa kwenye haya mambo yetu fulani. Hata ukifuatilia wakati wa kutongozana una sikia Sauti ya mwanamke tuuu, mwanaume anaongea Sauti ya chini, ukifuatilia anacho ongea unachosikia ni muungurumo tuuu. Je hii inashiria kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.