Ajali itakuwa kati ya saa 2 na saa 3, maana nilipita hapo saa 4 kasoro, hilo Lori bado lilikuwepo na palikuwa na foleni ndefu na kali sana, DCM sikulikuta nahisi walilitoa ili lisiendelee kuzuia njia.
Mimi nadhani hapa ni kuwa na discipline itasaidia, wazo langu kama unajijua unatumia sana internet basi tafuta mtandao unaona unafaa kwa wakati huo, weka bajeti ya mwezi kulingana na gharama kwa wakati huo, tafuta wireless modem ili iwe rahisi kutumia kwenye device yoyote nikimaanisha ukiwa na...
Naona ule usemi "maneno ya mkosaji", story ni nzuri na huo ndio uamuzi wake, tuheshimu maamuzi ya mtu, atakayehitaji atanunua tuu ndio ukweli, huwezi ukawa mpenzi wa story halafu ubanie kutoa 10,000 kununua kitabu ambacho umeshaanza kupata utamu wake. Kama imekuboa wewe susa wengine wale. Eddy...
Hivi ni JKNA au JNIA tusije changanya habari but kwa uwelewa wangu ni Julius Nyerere International Airport (JNIA) wamejaribu kutokumix kwa vile kuna Jomo Kenyatta International Airport (JKIA)
Kweli kabisa mkuu bei zako ni reasonable sana, wasilinganishe hizo za Tigo ambazo ni locked halafu ni promotion maana tigo pale hawakuuzii kwa ajili ya biashara ya simu hardware bali kwa ajili ya kukuvuta uwe mteja na ndio maana wanakupa na vifurushi vya kutosha wakidai wanakurudishia hela yako...
Msijali sana nimeskia kuna mchakato unataka kuanzishwa wa kulipia makosa barabarani kupitia mobile money kama m-pesa, yani ukishikwa anakuandikia notification then wewe unaingia kwenye menu yako ya mobile money unachagua Traffic (mfano) unathibitisha unakatwa hela (30,000/=) unapokea text yenye...
Ninavyofahamu mimi kwa haya machache mfano.
1) Ukiandikiwa notification unaweza lipia kituo chochote na ukapewa risiti, kingine wengi hawapewi risiti maana wanaotembea barabarani hawana risiti zile sio risiti, risiti zipo kwa mhasibu wao. Cha maana anatakiwa akupe copy ya ile notification ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.