Sikuzote no avatarnilijua ni mwelewa kumbe zero,pesa za mbowe ni za jasho lake,cdm inapata ruzuku kila mwezi so nipesa za walipa kodi,acha uchama ufisadi upo ndani ya chaema
Nakuhurumia Dr. unapochezea sasa sipo,itakula kwako,waislamu tunatambua CDM ni chama cha kanisa,ushahidi soma waraka wa uchaguzi 2010 wa kanisa katoliki,muulize Mrema aliwafanya nini waislam na kilimpata nini, nadhani mmeiona action ya Kongamano la kiislam lililofanyika Arusha,inshort waislam...
Haaaa unachekesha kaka mlisha onyesha tangu mwanzo kuwa chadema ni chama cha kanisa ndio maana mlimsimamisha mchungaji agombee.mmekosa ndio mnarudi kutafuta wanachama wa kiislam,tutajiunga baada ya slaa kuoa maa takrab zinaaaaaaaaa
Sishangai lisa kuuuponda uongozi wa kikwete, tatizo ni udini "hawata kuwa radhi mayahudi na manaswala mpaka mfuate mila zao'' wagala hamta mpenda jk hata afanyeje labda abadili dini.
Amakweli mchuma janga hula na wakwao,naona wapinzani mnavyopeana moyo baada ya kukosa ushindi,Slaa alisha ahidi kuwa hakunakulala mpaka kieleweke ndio kimeeleweka.Poleni sana
Slaa asituchanganye watanzania,mwanzo si alidai watalinda kura zao na kuhakikisha haziibwi,huyo ni sawa na mfamaji. JK anapendwa hilo lazima mtambue.SIRAHA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE zambi za kuacha Uchungaji zimeanza kukutafuna watanzania tunapenda amani kagimbee Dafur
Tatizo hamja komaa kisiasa,kameni za CHADEMA wanajaa sana vijana ambao wengiwao ni washangiliaji lakini hawapigi kura,CCM imewashika wazee na wanawake ndiomana inauhakika wa kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.