Hiyo taarifa ya kuwapiga watu mara kwa mara tunaisikia kwako, wakazi wa ngarenaro tunampenda na kumuamini diwani wetu Doitha. Kama alikuwa amelewa chakari aliweza vipi mpiga polisi mwenye mafunzo? Huyu Diwani ni mwepesi sana kuwasaidia wananchi bila uwoga nafikiri hiyo Tabia yake ya uchapakazi...
Mbona Mungu akuwasamehe maadui wa Israel Bali aliwapa msaada Israel wa kuangamiza maadui zao, mbona akuwaambia wakeshe wakiwaombea maadui? Kuna wakati wa kuomba na kuna wakati wa kujitetea.
Mimi naamini makonda, amesoma na ana vyeti vyote vya halali, Ila kwa wale ambao hawaamini basi ajitokeze...
We mtoa mada kama umelala tu unategemea mshahara utumii akili kutafuta chanzo kingine cha halali kuongeza kipato chako lazima utashangazwa na mbowe.
Naomba nijitolee mfano, nilikuwa msoma mita idara ya maji, baada ya kuona mshahara ni mdogo sana nikaanza kukaanga samaki jioni baada ya kazi...
Naamini makonda hajachakachua vyeti vyake, na kwa jinsi alivyo MTU wa Mungu ataonyesha mubashara vyeti vyake vyote vya toka darasa la saba mbele ya waandishi huku pembeni akiwa na baadhi ya waalimu wake wa secondary.
hivi wewe toka watuhumiwa walipoanza kutajwa ni weledi gani umeuona? kuwapa taarifa watuhumiwa ya kuja polisi? hivi kama mimi ni mtuhumiwa si nitajipanga nisikutwe na kidhibiti chochote. Alafu kama walitumia weledi watupe taarifa ya madawa waliyo yakamata tayari kutoka kwa watuhumiwa waliopewa...
Msukuma hayupo kichama, ni mbunge mwenye kujielewa na kujua wajibu wake. Huwezi kuwaambia wabunge tuliowachagua sisi kwa kura na kwa kuwaamini kutuwakilisha kuwa wanalala na kusinzia, hayo ni matusi makubwa na anapaswa kushughulikiwa vizuri ili iwe fundishe kwa wengine wanaolidharau bunge letu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.