Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?
Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa...
Tatizo sio polisi kukaa kimya, shida ni wanasiasa wenu kukaa kimya kushindwa kukemea suala hili, hamna hata mmoja aliyetoka hadharani kulikemea wote wapo kimya, nashauri jeshi la polisi lisiingie kichwa kichwa kutumia Nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.