Anachosema huyo Rmrnobody yuko sahihi ...nadhn alikuwa hajui tu kama magereza wameanza kutoka huduma za afya zenye hadhi ya hospital. Kwasbb ameelewesha tyr kuwa MT nao wameanza kutoa huduma hiyo. Kuhusu degree kuchukua wengi au wachache jibu siku zote lzima wawe wachache sehem yoyote au kweny...
jamani from my understanding, Rais akisha apishwa haiwezekani kumfungulia kesi mahakamani, na pia haiwezekani kufungua kesi kama hauna uhakika na matokeo hadi watakapo mwapisha, na akiapwishwa haiwezekani kutenguliwa.
mimi nadhani tuifuate haki yetu mtaani maana penye sheria hatuwezi kufika...
Jamani, sijasikia lolote wala kuwaona viongozi wetu wakubwa kama B. Mkapa, A. H. Mwinyi,spika, na wengine wengi katika kampeni za kumnadi mgombea urais CCM. kuna mtu anajua lolote mtu amelisikia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.