Kwa hali ilivyokuwa huku mtaani, hata mimi nmewasameh na pia nawaombea msamaha kwani chini ya jua hakuna mkamilifu,isitoshe walimu wakiwa field madogo wanawachukulia poa .......
Kikubwa kubuni vyanzo vipya vya kipato ili kuacha kutegemea mshahara hili ndilo la msingi kwa jinsi navyodhani ni kwamba mshahara kamwe hautaweza kukidhi haja zote na kufanya maendeleo Mkuu
Wakuu amani iwe nanyi poleni na majukum ya kila siku. Class mate wangu ameniuliza swali kiukweli nmeshindwa kumjibu. Anasema tangu ameajiriwa miaka 7iliyopita hajawahi kuishi kwa kutegemea dili au rushwa kazini kwake,kipato chake ni mshahara tu.Sasa anasema kwa mwaka huu mambo yamekuwa magumu...
Naapa sijawahi ipenda ccm, Lakini utendaji wa Magufuli hakika namuunga mkono asilimia 100.kazi anayoifanya ni ngumu sana na dhahiri anapambana kwa maslahi ya wote....wachache hawata muuelewa ila muda utaongea. Nilichoshuhudia ni kwamba akiahidi kitu anatekeleza. kazi aifanyayo faida yake...
Mzee Tupatupa(LUMUMBA) hivi kweli kama huko chamani kuna watu kama wewe wenye mawazo chanya unadhani kuna mwananchi angewachukia kweli??? Binafsi mimi ni shabiki wako kwa style ya hoja zako...sisi ni wananchi wa kati ambao matamko na kauli mbali mbali zinagusa maisha yetu na sisi tunategemewa...
Huyu jamaa sio kwamba anatania na sio kwamba anachekesha, Yaani hapo ndio upeo wake wa kufikiri umeishia hapo sasa unadhani atachangia nini??? Twendeni kwenye TanzaniaMpya. Hata waliomchagua wanaugulia kimya kimya.poleni sana wana Ulanga mmechagua Sanamu badala ya kiongozi
Nashukuru kwa kulichukia hili dubwasha,(kama Maalim Seif anavyoliita)-Nachofurahi ugumu wa maisha haubagui wote ni kuisoma namba,shida, Njaa,Umasikini mbele kwa mble.Wajinga ndio wali wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.