Muheshimiwa Tundu Lissu,
Kwanza napenda kukupongeza kwa kuteuliwa kwako kupeperusha bendera ya chama chako katika uchaguzi huu wa 2020.
Pili, Sera hii yako ya Mifumo ya kifalme ni sera moja kubwa na yenye mashiko makubwa na yenye uwezo mkubwa wakuleta mapinduzi ya kifikra kwetu watanzania na...
Hatuna shida na viongozi Madikteta!!! Walikuwa wamejianda hao ili kutafuta kiki ya kisiasa. Hata barua imeshachapwa. wao wafanye yao kwani lazima watuambie kama sio kutafuta sifa tuu?
I am tired of the guy basssiiii! sisi sio wamaana kwako kutusikiliza sasa unatafuta sifa kwetu za nini??
Mhesimiwa Mr President,
Mimi ni mtanzania mkazi wa masaki. Naomba nikuchallenge kidogo kwenye fikra kama ambavyo umetushauri watanzania kufanya badala ya udaku. Je unadhani kweli, mr president kuwa watu wamasaki tunauhitaji mkubwa wa daraja linalotoka mjini mpaka majumbani kwetu kwa sasa? Je...
Kweli siku zote inamweka mtu huru. Kwanza aache kusingizia vita dhidi ya Madawa ya kulevya kwanin watanzania wengi tunasapport vita hii ila tulikuwa atusupport njia aliyotumia. Pili yeye sio kiongozi wa hio vita, imeshapewa mkurugenzi. Mbona atusikii yeye akiulizwa vyeti au kulalamika na...
Yani wanaovunja sheria ni nani hapa? Wanao pitiliza mamlaka yao ni nani? Hii inasikitisha sana yani umeanza utawala wakuvunja sheria kwa vyombo vya kuilinda sheria yenyewe. Kwa ufahamu wangh mdogo polisi ndio wanaovunja sheria na ndio wanaopaswa wachukuliwe hatua ma sio wale wanaotimiza haki yao...
kweli wewe ndio uanze kwenda shule...unadiriki kuita katiba ya nchi ni karatasi tu. hio dhana(mindset) yakuona katiba ni karatasi tu ndio inayoikumba nchi za afrika kwa kupata viongozi wasioheshimu katiba kwasababu wanamtazamo kama wako.
Katiba ni sheria mama inayoongoza nchi au kundi la...
Hivi nyinyi mnaowatenga wachaga na watu wakaskazini kama vile wao sio watanzania mnadhani mnapanda mbegu gani? Yani kunakabila nchi hii ndio wao wanaruhusa kuliko wengine humu tanzania.
Kwanza wachaga wako kila mahali nchi hii wengi wamezaliwa na kukulia sehemu hizo na kupachukulia kuwa...
Mnasema aevunja sheria ni sheria zipi hizo?? Je kwani harusiwi kumsupport mtu kama mshauri?? Msitafute kuwaonea na kuwabambikia kesi ilu kuwatusha watu kujihusisha siasa za upinzani.
Yani huu ni ukweli kabisa. Sisi watanzania tunalalamika humu tu kuingia mitaani nakuwaonyesha watawala hasira zetu atuwezi. Tumekuwa watu waoga na wabinafsi sana. Tunajiwaza wenyewe tu na tunakosa uzalendo juu ya taifa hili. Wakati umefika wakulipigania taifa hili na sio kukaa kimya. The...
Hivi nyinyi mbona hampati picha?? Kaondoka katibu Mkuu wa taifa na bado tunasonga mbele kwa nguvu ..sembuse huyo?? Yeye nani?? Mko wagumu sana kuelewa kinachotokea.
Channel ten wanamleta polepole kama nani? Mbona ni msemaji wa CCM huyo? Sisi watanzania sio wapumbavu wala si malofa. Polepole usitudanganye wewe ni kada wa CCM na wanakulipa kuja kuwazungumzia. Chanel ten mkimleta huyu pole pole muwalete na ukawa waweze kujibu hoja huyo. Yani muone kilakitu...
Acha uongo wewe kimtu. Jana tu tulikuwa nae kwenye mkutano uwanja wa furahisha Mwanza na kwenye chakula cha viongozi hoteli ya gold crest. Tabasamu hawezi rudia hayo matapishi! Alitoka CCM bila woga hata wakati hatukuwa na huakika wa kuchukua nchi aje arudi sasa wakati CCM mko hoi tabani...
Watu wanao sema huu ni uwongo mtashangaa. Mimi ni mwanchama hai na mmoja wa wagombe wa chadema. Hili jambo limenisononesha sana.
Kiukweli chama minakengeuka maadili yake kwa tamaa ga watu wachache mutaka kwenda ikulu. Walianza na Mungu sasa wanamaliza na shetani.
Kama Mungu wetu aishivyo...
Namimi nashangaa sana kwanini dr asichukue fomu agombee. Kama demokrasia lowassa apambanishwe na dr slaa. Kwanini Mboe au washiriki wa ukawa wanalazimisha chadema kuuwa demokrasia hivi?
Hizo nimezipata pia si tetesi hata kidogo. Kamati kuu ya chadema iko kwenye muendelezo wa vikao. Wanagikiri cha kufanya. Ushauri wangu haki itendeke wote wachukue fomu wagombee. Sio watuletee mgombe wa mifukoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.