Kwenye album ya Pepe Kalle ya Pon Mon Paka Bouge Diblo na Dally Kimoko wameshirikiana kupiga magitaa. Katika nyimbo ambazo Diblo kapiga solo basi Dally kapiga rhythm na zile ambazo solo limepigwa na Dally rhythm kapiga Diblo.
Halafu ule mtindo wa polisi kusimamisha magari huku wakiwa na bunduki na wamevalia majaketi yasiyopenya risasi huwa unanishangaza sana. Hivi kuulizia na kukagua vitu kama leseni, bima na fire extinguisher ni lazima uwe na bunduki na jaketi lisilopenya risasi? Hii ni mbinu chafu ya kuwatisha...
Kama unataka kubana matumizi kuna kahoteli kamoja kanaitwa Mabvuto Inn kako mkabala na Uwanja wa Independence sehemu inaitwa Mandevu, jijini Lusaka. Hii ni guest house, baa na hoteli. Ni Uswahilini lakini kuna usalama na ni karibu sana na mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.