Nakubaliana na mdau mmoja aliyesema uzuri wa kocha unauona kipindi cha pili kwa sababu timu inakuja na mbinu mbadala ya kuwakabili wapinzani.
Nachelea kusema wakati wa Maximo team ilikuwa inaonyesha mabadiliko/uhai kiuchezaji kipindi cha pili. SIYO SASA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.