Nadhani Igunga ni Tabora kwa wanyamwezi...wasukuma huko Shinyanga na Mwanza wameshaishtukia sisiem na matunda yake ni idadi kubwa wa wabunge wa upinzani
Ni kwa sababu wao ni wawakilishi wa zanzibar ktk serikali ya muungano...muungano wetu una sehemu mbili tu zanzibar na serikali ya muungano..hakuna kitu kama bara hivyo wawakilishi hujadili, kuchangia pia kutoa maamuzi ktk bunge la muungano..hii ni kutokana na katiba ilivyo kwa sasa!
CHADEMA: Matokeo yetu yamehujumiwa
Na Alfred Lucas - Imechapwa 03 November 2010
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatuhumiwa kuhujumu matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani kwa lengo la kukinyima ushindi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), MwanaHALISI...
Caesar's wife ought to be above suspicion. ‥Caesar himself ought to be so too.
[1847 J. C. & A. W. Hare Guesses at Truth (ed. 3) 1st Ser. 263]
Jk pamoja na mzee vijisenti should follow that great example!!!!
It is a very great misfortune that persons imployed in the most important Departments should‥have seperate interests from the publick whom they profess to serve. Caesars wife ought not to be suspected.
[1779 A. Adams Letter 4 Jan. in L. H. Butterfield et al. Adams Family Correspondence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.