Hello Kiwale, je hizi gum poles ni treated? Na hizi bei ni kwa mita moja au urefu gani? Na je hizi gumpoles huwa zina urefu gani kawaida?
Na hizi bei zinaweza pia kutumika Kongwa?
Behind it Kuna CIA pia. Ili kumaliza bifu lililokuwa linapamba moto Kati ya east na west. Both were killed by CIA. Period! But the question is " why the 7th day theory apply to the death of 2pac? Refer the kiluminati album!! Think big
utakuwa ule mpango wa Serikali kujipindua ndio upo kwenye process
Tungoje ukweli, tuache tetesi kwenye mambo ya msingi. mleta nada amekosa kujiamini kwa maneno aliyotumia yanayokinzana "tetesi>>>uhakika>>za kweli>>>ngoja nitaleta source". Why usingetulia ukaleta habari kamili? Unadhani issue...
TUNADANGANYANA, TUNAJAZANA UJINGA
Na Jenerali Ulimwengu,
NALAZIMIKA kurejea mada yangu ya muda mrefu, mada inayojadili jinsi tunavyofanya mambo kama watu wa kupita huku tukishindwa kuangalia masafa marefu kama Taifa linaloamini kwamba litakuwapo hapa hapa kwa muda mrefu. Wiki...
Ni kweli, pale Ujerumani kuna stripping clubs katika street ya makahaba mashuhuri na mashoga maarufu. Inafanyika kwa sababu sisi wanaume tunawachukua na tunawahitaji... Ni kama iliyo biashara ya utumwa tu, difference ni uwa after kupewa mambo kila mtu anachukua time yake.
Jamii ina mambo na...
Salam wanabodi,
Msaada kwa mwenye ufahamu juu ya gharama ya Sports Rim za Suzuki Swift 1.3 (Aluminium Alloy Rim) ikiwa full na tairi au hata rim peke yake. Naomba bei za wauzaji wa Tanzania.
Wheel Type
Alloy
Wheel Size
15 inch
Tyres
185/60R15
Natanguliza shukrani
KWELI KABISA, Nilitaka kuandika hivi hivi, mpigaji alikuwa kasimama karibu na shule ya Msukanzi kama sikosei. na Idete shambani ndio lilikuwa eneo salama. mnakumbuka kipindi cha mapera idete na siafu?
Tosa, was always the best place those days!
Anazungumzia changamoto mbalimbali jimboni na nchini kwa ujumla
na namna ya kupambana nazo.
Kaanza na mapato na masuala ya ardhi katika Halmashauri
Source Clouds FM
Kipindi Jahazi
Ajali Mbaya ya Toyota Coaster na Gari la mizigo leo Mbeya watu 13 wamefariki Dunia na Majeruhi 19. Dereva afariki hapo hapo.
Basi aina ya Coaster lililo kuwa linatokea Mbeya kuelekea Kyela Muda mfupi baada ya Ajali kutokea
Gari la Mizigo ambalo limehusika na ajali hiyo likiwa pembeni muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.