Makamanda kote nchini.
Nimebahatika kujichomekeza ktk kikao cha mawakala wilaya ukumbi AICC kilichoongozwa na mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa Godfrey Mwalusamba,mwakilishi toka Lumumba na Lekule Laiser na haya ndiyo maazimio.
-Hali ni mbaya kote nchini,wanazungumza na wasimamizi ili...
Kama Iko hata Chembe ya Mabadiliko, Chembe hiyo itakuwa UKAWA
Na Jenerali Ulimwengu
Toleo la 428
21 Oct 2015
KICHWA cha makala ya wiki hii nimekiteua kwa makusudi kabisa kwa sababu kadhaa. Kwa umri wangu na kutokana na uzoefu wangu katika siasa za nchi hii, ninajua kwamba siasa zetu karibu...
Uwe unafanya utafiti kidogo mkuu. Edgar Lungu ni Rais aliyetokana na chama-tawala baada ya Michael Satta kufariki. Alishinda uchaguzi akiwa ni mgombea wa chama tawala. Sasa sijui mfano wako unamanisha Watanzania wasiichague CCM kwa sababu ni chama tawala au la?
Tume imesitisha na kuwasimamisha wote waliokuwa wanaandaa karatasi za majumuisho ya matokeo ya upigaji kura. Inavyoonekana ni katika mikakati ya bao la mkono. Tume kwa sasa wengi hawaelewani kutokana na baadhi ya wakubwa kufanya mambo waliyoelekezwa na MaCCM tofauti na ilivyokuwa mwanzo na bila...
Tume imesitisha na kuwasimamisha wote waliokuwa wanaandaa karatasi za majumuisho ya matokeo ya upigaji kura. Inavyoonekana ni katika mikakati ya bao la mkono. Tume kwa sasa wengi hawaelewani kutokana na baadhi ya wakubwa kufanya mambo waliyoelekezwa na MaCCM tofauti na ilivyokuwa mwanzo na bila...
Tume imesitisha na kuwasimamisha wote waliokuwa wanaandaa karatasi za majumuisho ya matokeo ya upigaji kura. Inavyoonekana ni katika mikakati ya bao la mkono. Tume kwa sasa wengi hawaelewani kutokana na baadhi ya wakubwa kufanya mambo waliyoelekezwa na MaCCM tofauti na ilivyokuwa mwanzo na bila...
Makala
Kama iko hata chembe ya mabadiliko, chembe hiyo itakuwa Ukawa
Jenerali Ulimwengu
Toleo la 428
21 Oct 2015
KICHWA cha makala ya wiki hii nimekiteua kwa makusudi kabisa kwa sababu kadhaa. Kwa umri wangu na kutokana na uzoefu wangu katika siasa za nchi hii, ninajua kwamba siasa zetu karibu...
Makala
Kama iko hata chembe ya mabadiliko, chembe hiyo itakuwa Ukawa
Jenerali Ulimwengu
Toleo la 428
21 Oct 2015
KICHWA cha makala ya wiki hii nimekiteua kwa makusudi kabisa kwa sababu kadhaa. Kwa umri wangu na kutokana na uzoefu wangu katika siasa za nchi hii, ninajua kwamba siasa zetu karibu...
By JUMA MWAPACHU
Wapenzi marafiki zangu, UKAWA na wafuasi wa Lowassa. Tuna siku tano zimebaki kabla ya kufika siku ya uchaguzi wa hatima ya maisha yetu. Sote tumehamasika na kujawa na nguvu kubwa ya kupiga kura ili kuitoa CCM madarakani. Azimio na msimamo wetu ni kubadili serikali ambayo...
By JUMA MWAPACHU
Wapenzi marafiki zangu, UKAWA na wafuasi wa Lowassa. Tuna siku tano zimebaki kabla ya kufika siku ya uchaguzi wa hatima ya maisha yetu. Sote tumehamasika na kujawa na nguvu kubwa ya kupiga kura ili kuitoa CCM madarakani. Azimio na msimamo wetu ni kubadili serikali ambayo...
By JUMA MWAPACHU
Wapenzi marafiki zangu, UKAWA na wafuasi wa Lowassa. Tuna siku tano zimebaki kabla ya kufika siku ya uchaguzi wa hatima ya maisha yetu. Sote tumehamasika na kujawa na nguvu kubwa ya kupiga kura ili kuitoa CCM madarakani. Azimio na msimamo wetu ni kubadili serikali ambayo...
Hizi ndio zilizofichuka
Mbona MACCM mnashikwa na wendswazimu kabla hata ya KURA kupigwa 25 Oct.2015?
Uadilifu wa Magufuli uko wapi!
Ametelekeza Mke na kudunda na vimada na kuwapatia Nyumba za serikali kwa dezo huo ndio UADILIFU?
Ameacha watoto wanaokota kuni za kupikia MBWA huo ndio...
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.
Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.
Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba...
Hakuna cha kuwapa watu homa. Kama ni homa labda anakupa wewe. Upuuzi wowote lazima tuujibu, hatuwezi kuacha kujibu. Ndio maana hata wewe ukiandika upuuzi kama wako huu tunakujibu. Humu JF watu wengi wana akili zao na misimamo yao kabisa, na wala sio watu wa kuyumba kama unavyofikiria. Kwa hiyo...
Giambatista Vico
Kwa upande wangu ,sijui wengine ! Ni kwamba CCM tayari imeshapoteza uchaguzi huu na mshindi ni Ukawa Chini ya Lowasa.
Sababu kuu ninayoiona ndio iliyoizamisha na kuiangamiza CCM, sababu ambayo ni kama CCM imefungwa mawe na majabali ya miguu kisha ikatumbukizwa au kutupwa...
CCM walianza kumpiga vita Lowassa tangu alipokuwa ndani ya CCM na baadaye alipojiunga na CHADEMA ili kuwa mgombea wa UKAWA kwa kutumia sababu ya Ufisadi.
Lakini karata hii ikajibiwa kiufundi na Lowassa mara baada ya kutoka CCM na hivyo kuwafanya wananchi waone kwamba anaonewa bure kwani kama ni...
CCM walianza kumpiga vita Lowassa tangu alipokuwa ndani ya CCM na baadaye alipojiunga na CHADEMA ili kuwa mgombea wa UKAWA kwa kutumia sababu ya Ufisadi.
Lakini karata hii ikajibiwa kiufundi na Lowassa mara baada ya kutoka CCM na hivyo kuwafanya wananchi waone kwamba anaonewa bure kwani kama ni...
CCM walianza kumpiga vita Lowassa tangu alipokuwa ndani ya CCM na baadaye alipojiunga na CHADEMA ili kuwa mgombea wa UKAWA kwa kutumia sababu ya Ufisadi.
Lakini karata hii ikajibiwa kiufundi na Lowassa mara baada ya kutoka CCM na hivyo kuwafanya wananchi waone kwamba anaonewa bure kwani kama ni...
CCM walianza kumpiga vita Lowassa tangu alipokuwa ndani ya CCM na baadaye alipojiunga na CHADEMA ili kuwa mgombea wa UKAWA kwa kutumia sababu ya Ufisadi.
Lakini karata hii ikajibiwa kiufundi na Lowassa mara baada ya kutoka CCM na hivyo kuwafanya wananchi waone kwamba anaonewa bure kwani kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.