division four ya point 29????????????Duh kwa hiyo jamaa ni bonge la kilaza??? ndio maana hajasema lolote kuhusu matokeo ya F4 maana watamuuliza mbona nae alifeli lakini anatumia V8!!!!!!!!!!!!!!
Ndugu Mbuge,
Kupanda Bodaboda sikuona kitu cha ajabu tatzo ni pale ambapo unakuja kutangaza na kuwa agenda ya kujadili kwny FB wall zako badala ya kujadili hoja za kimaendeleo na namna unavyoshirki kuboresha maisha ya Watanzania Maskini ili nao waachane na vyombo hivi unavyo sema ni...
Guys Hii UD inawapa tabu sana, Imekuwa tena kama siasa ama kweli vijana mumepoteza muelekeo, u should know kuwa UD is the state University though it can not produce 100% competent graduate but more than 80% but other University including u'rs can only give about 20% competent graduate this is...
Kma huna hela keep quiet, kwan ulitaka iwe wapi ndio uambiwe 85M, kanunue masak na kwingineko wanako nunua wenye Visent kama akina Waziri Maige USD 450,000-700,000M
Mm nachukia mtua anaye jifanya anadharau baadhi ya maeneo, ili hali hajawahi kujenga hata choo!!! Akifa leo msiba wanahani kwa...
Huu ni ***** wa hali ya Juu, i don't think if this real is from a great thinker!!!
Guy to me keeping silence if u don't have something vital to share/post is highly appriciated than just provoking.
Kwan hao wazee wa Bagamoyo ndio spokesmen wa wa Taznzania 43M??? To me this is Rubish, sina...
Sorry ila ingekuwa vizuri ukatafuta Msemaji wake au yy mwenyewe maana humu hatuwezi kuwa na majibu!!
Na kwa nini EL tu mm sio muumini wa mafisadi na hata CCM nimeichoka kuliko yawezekana mtanzania yeyote lakini hili Swali ni vyema lisimlenge mtu maana wanaoutaka Uraisi huko CCM nio Wengi muono...
Pole mkuu, Hata Dawa zile zinazotangazwa na akina Dr Manyaunyau zimeshindwa?? Na zile za Masai je?? Aisee ploe its a big challenge to go throough as a Man, but as many have advised please consult your DR.
Magamba bwana!! Yaani thinking capacity yako imekuelekeza hivyo?? Hizo pesa tumechanga kwa Lengo la Kueneza ujumbe wa mabadiliko kwa Tanzania ili kuchukua nchi 2015 kwa lengo la kusimamia rasimali za Taifa ili kuhakisha hizo huduma bora na mirad ya jamii ambayo haisimamiwi vizuri na Serikali...
RIP Kabalimu,
BOYZIA dont confuse huyu sio Mwombeki wa Maths na Physics mzee wa Swali likishindikana tumplekee H/Master wakat huo alikuwa Mrisho miaka ya 98 to 2007 i think, Mwombeki yuko Sengerema ni Headmaster one time nilikutana nae Mwanza akaniambia.
Asante,
Usilaumu na kuhukumu tu! Ungetueleza na mapungufu yako yaliyochangia maana wakurya tumeoa makabila mengne na dada zetu kuolewa na makabila mengne sana,sasa isije ikawa ww ni miongon mwa wale wa dada wanao mpenda mme lakn hawatak kuona ndugu wa mumme kwny himaya zao ila ndugu zake mke. Alafu kwa...
zezeta jingine hili! CRAP kamuulize ****** bila uchakachuaji Vyama msimu vilimung'oa madarakani lakin Tume yao na UWT wakamuweka madarakani kwa msaada wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.