Hakika yapo mambo ambayo yanafanyika kwa mbwembwe lakini ukiyaangalia kwa makini yanakosa mashiko.Hii opareshen ni ya kwenye media tu?mbona hatuoni watu wakipewa bendera wanazoomba ili zipeperuke nchi nzima?Au kuna ufisadi na ukiritimba ndani ya CDM wa kutoa bendera na gwanda?
Oparesheni inaitwa...
Hivi unajua kama mwanamama huyo anatawala wilaya nne za Kilosa,Morogoro manispaa,Morogoro Vijijini na Mvomero?
Toka JK apangue wakuu wa wilaya mpaka sasa bado anayezitawala wilaya hizo ni huyo mwanamama.
Je, hakuna wengine wa kumsaidia? Kwanini iwe yeye tu?
Nimetuma thread inayoeleza na kuondoa utata juu ya nani mwasisi wa hoja ya kuondoa posho za wabunge kwani wapo wanaosema ni mpango wa maendeleo wa miaka mitano wengine wanasema ni Zitto Kabwe.Lakini naona imefungwa kwani haionekani.Lengo langu ni kuonesha jinsi mawazo ya Dr Slaa na ahadi zake...
Nimeshangaa sana kusikia eti kuondoa posho kwa wabunge ni hoja ya serikali ya ccm kupitia mpango wa maendeleo wa miaka 5.Watanzania ni wepesi kusahau kwani Dr Slaa alishaahidi ktk kampeni.Kuweka suala la posho kwenye mpango huo ni kutekeleza ahadi za Dr Slaa kwa mlango wanyuma.
source:soma...
Ninaunga mkono maandamano hayo na tena kauli ya mwisho rangi nyekundu ina mantiki kubwa mno.Ifike mahali tusisubiri wala kukubali uongo na visingizio vya kupinga maandamano.Vyama vyote vya upinzani na wanaharakati wote tushiriki maandamano
Kwa kuwa CHADEMA ndiyo chama kikuu cha upinzani hapa TZ waTZ wana penda kusikia ujumbe maalumu toka kwa viongozi wao wakuu wa CDM,na kwa kuwa chama tawala cha magamba wana hotuba ya kila mwezi basi tunaomba CDM waanzishe hotuba ya kila mwezi.Wana JF mnasemaje?
Ili demokrasia ya kutoa maoni kwa njia ya maandamano isiingiliwe na jeshi la polisi imegunduliwa dawa.Dawa hiyo ni kuwa iwapo polisi wataingilia maandamano na kupiga,na kuua watu ktk maandamano basi jamii na hasa vijana walipze kisasi kwa familia au ndugu zao ambao wapo uraiani kwa kuwafanyia...
Mussa Mwangoka, Sumbawanga
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ameliangukia Kanisa Katoliki nchini, akiomba radhi kutokana kashfa zilizotolewa kwa kanisa hilo wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.
Pinda aliomba radhi jana mbele ya viongoizi wa madhehebu mbalimbali ya dini kwa niaba ya...
"Hali hiyo siyo ilijitokeza tu Sumbawanga... najua tulimkwaza Mhashamu Baba Askofu (Damian Kyaruzi), tumekejeli imani ya dini yake, tunaomba radhi, mimi naomba radhi kwa niaba ya CCM na Serikali si hapa tu, lakini ni maeneo mengi nchini kama vile majimbo ya uchaguzi ya Hai na Same ambapo baadhi...
Hii mifuko na mingine ya namna hii inatumika kuwanufaisha mafisadi walioianzisha.mnaonaje iwekewe mfumo mzuri uso wa kinyonyaji kwenye katiba mpya?
NAWASILISHA
CHADEMA pokeeni kwa mikono miwili ya furaha ushauri wa makamba wa kuongea na watu wengine na si ccm hivyo nendeni kwa wananchi.njooni kwetu tutoe maoni yetu.makamba atajuta kwa kauli yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.