Magufuri
Magufuri alikuwa ameanda cabinet na bunge na maafisa mbali mbali wakutumika kutimiza lengo lake. Ndio maana alifanya kila umafya kuua upinzani na kuua wapinzani nchi ibaki na watu aliyowaanda kusema ndio kwa kila alichotaka ikiwa ni pamoja na kuextend muda wa kukaa madarakani kama...
Kipindi cha misukosuko kama hiki natarajia kuona mchango wake lakini hadi sasa yupo kimya!
Najiuliza mfano imetokea ajali kama ilivyotokea. Je, unaona tunaye kiongozi hapo wa kushika usukani ama majanga mengine?
CCM OYEE!
1.Ajira kwa vijana hakuna...CCM OYEE
2. Wafanyakazi hakuna kuongeza mishahara...CCM OYEE
3. Wakulima wa korosho hawalipwa ...CCM OYEE
4. Watu mtaani ni kuombana ombana pesa tu ...CCM OYEE
5. Baadhi ya watu ni miungu watu...CCM OYEE
6. Watu kubomolewa nyumba na kufa kwa presha...CCM...
Sioni wala siwezi Ku access Application ya Facebook kutisimu yangu. Tatizo nini?
Imepotea tu yenyewe na hats application list za kwenye simu haipo!
Tafadhali msaada kujua kwa nini and how
There are over 20tons of raw ginger, a buyer needed!
Apart from fresh ginger there are also dried high quality cardamon over 10tones. Plz inbox if you are a buyer
Swala si kukosa pa kupokea, tatizo unakuta demu anakufatilia sana mwisho unaona ngoja umpatie na unakuta hajapata uduma muda mrefu , alafu analeta mambo ya kijinga
Swala si kulalamikia pesa! Kwa nini usiseme unataka sh ngapi mapema na mtu akafanya maamuzi! Na kwa nn unaanza kujilegeza kwa mtu lkn kumbe shida yako ni mafuta au simu au kodi....uoni huu ni utapeli?
Inashangaza baadhi ya wanawake wa mjini wasaka ngono anaonyesha interest kwako na mwisho wa siku unaona ok ngoja tumalize.
Mnakutana atakula na kumya tena anachotaka, pale mnataka kuanza mchezo anajigeuza tena siku ya kwanza anaanza story za;
1. Utanipa nini?
2. Simu yangu inashida
3. Kesho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.