It seems kijana Nova Kambota umebadilika sana siku hizi kwa maana wewe si ndio kale kajamaa kalikokuwa kanajidai kuwa kalisoma ilboru halafu kakawa kanapotosha watu kwa kuwa kashabiki ka mafisadi CCM, halafu kakawa kanaponda JF na CHADEMA kupitia blog ya www.novadream.blog.com sasa kama...
Wapo wapi mashujaa na viongozi waliosoma Ilboru special school pale Arusha? inauma sana shule hii inavyozidi kuporomoka kitaaluma just imagine mpaka leo wanafunzi wa ilboru hawajaanza kujifunza computer...........naililia ilboru
Dalili nimeanza kuziona kuwa yapo makundi mblimbali ya watu wanaopigania katiba mpya lakini hofu yangu ni kuwa mjadala huu umeanza kupoteza maana kwani CHADEMA wamekuwa wakiufanya kama mtaji wa kuiadhibu CCM badala ya manufaa ya taifa zima hapa kuna hatari kubwa kwani huku si kujenga tena ila ni...
Kilichotabiriwa tumekiona na tulichoandika kimedhihirika , hii ni baada ya wale wanaojiita wanazi wa chadema wanaoishi ulaya kukaa kimya kuhusu mgawanyiko wa chama chao katika sakata la kususia hotuba ya JK.............sasa nauliza wako wapi mamluki hawa wa CHADEMA?
Zanziba hakuna mshindi wala mshinda bali ni ushindi wa wazanzibar wote mwingine ni umbeya na upuuzi hakuna zaidi ya hili wazanzibar hatutaki uchokozi wala uchochezi.
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi...
Licha ya juhudi zote nilizozifanya za kuandika magazetini juu ya tabia ya wanachadema kusalimiana huku wamekunja ngumi peoples ....power, nimeandika kwenye magaqzeti mbalimbali kuwa kwa maadili na falsafa ya kitanzania kuwa hili ni kosa kubwa , kwa watanzania ngumi haiashirii umoja bali ugomvi...
Think of it once Adolf Hitler stated that ....necessity knows no law...........i think this is the living philosophy that ever came out of Hitler's mouth............real necessity knows no law...ponder it out, think wise, do you see the logic?
if not now when? and if not me who?
Kulikuwa na NCCR-MAGEUZI ya Mrema imepita, ikafata CUF ya Lipumba nayo ikapita hivyohivyo, wanachadema kaeni chonjo huu tunaouona sasa sio upinzani wa chadema bali mwanzo wa mwisho wa CHADEMA ya Dr slaa, mambo kujirudia ni kanuni ya historia huwa haikwepeki hata siku moja...
..........kwangu mimi nikihusanisha hoja kama Edwin Mtei ni muanzilishi wa CHADEMA halafu kaboronga basi hili lina athari kwa CHADEMA yote kwa maana hata samaki akioza basi wote wameoza kwanza CHADEMA ijisafishe kwa hili...........
....................Amin's limited education could not fathoom...
Ni wazi kuwa Edwin Mtei hakufanya uamuzi sahihi kumpa ushauri mbovu kama ule Mwl Nyerere and good enough Nyerere alikuwa anaona mbalimbali alishasoma alama za nyakati akakataa lakini kinachonisikitisha ni baadhi ya watanzania ambao kwa sababu zao za kisiasa wanataka kirahisirahisi kwa hoja dhaiu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.