Propaganda at its best again. Huko Geita walilipua kituo cha polisi na kuwauwa polisi kadhaa wakaja kutuambia wamekamata bunduki makaburini na watuhumiwa. Mpaka leo hatujaona mtu akipandishwa kizimbani kujibu tuhuma kama wa Stakishari walivyobandishwa.
Yote haya ni kupata sympathy kwa jamii...
Ni dhahiri kabisa Mhe. Magufuli hajui matatizo ya watanzania kwa kusema ni masuala ya boda boda na mama ntilie. Kweli Mhe. imepita siku zote tangu uchukue form na hadi kuteuliwa hujui watanzania unaotaka kuwaongoza wana matatizo gani. Sikuskia mambo muhimu yote ambayo wanahangaika nayo zaidi ya...
Ni dhahiri kabisa Mhe. Magufuli hajui matatizo ya watanzania kwa kusema ni masuala ya boda boda na mama ntilie. Kweli Mhe. imepita siku zote tangu uchukue form na hadi kuteuliwa hujui watanzania unaotaka kuwaongoza wana matatizo gani. Sikuskia mambo muhimu yote ambayo wanahangaika nayo zaidi ya...
Ni dhahiri kabisa Mhe. Magufuli hajui matatizo ya watanzania kwa kusema ni masuala ya boda boda na mama ntilie. Kweli Mhe. imepita siku zote tangu uchukue form na hadi kuteuliwa hujui watanzania unaotaka kuwaongoza wana matatizo gani. Sikuskia mambo muhimu yote ambayo wanahangaika nayo zaidi...
Na pia DPP Feleshi (mtu wa mamvi na kawekwa na mamvi) mpuuzi sana kwa kuchukua civil case baina ya NGO na kampuni na kuifanya criminal kwa dhana potofu na ya ulafi wa kupewa hela, yeye na ma polisi wa kanda kina Msangi wa pale Sentro.
DPP badala ya kuhangaika na kesi za mafisadi wanaotafuna...
Nakubaliana na wewe mia kwa mia, ila huyo mtoto wa mamvi ndio alieyeenda kusema kwa Mamvi na RA ya kuwa hizo fulana ni za kuwakashifu mafisadi na ndio wakaenda kutoa magazetini na mfadhili akajitoa. So, RA na magazeti yake yawajibike....pamoja na Mamvi.
Kimbunga kinakuja!
Hivi tatizo la viungo kupenyeza mipira au kujenga formation ni tatizo sugu tanzania....kama umeme wa Ngeleja vile....huwezi kufunga kwa kumpa #9 mpira ya kujaza maji maji kama vile....unawachosha wenzako tu...foward hawezi kucheza mpira kampa beki mgongo na goli analotakiwa kufunga
Jamani kwa mpira huu tusitegemee timu ya taifa kufanyaa maajabu....kwa kweli tuna safari ndefu ila twaga kwa kujikongoja....Twiga Stars are much better
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.