hili swala nizito, lazima kuna kitu kinaendelea, nafikiri RA simtu wa kupiga simu kwa ZK kumjulia hali au kinyume chake. Yule bwana akiestablish communication ya namna hiyo na ZK/mtu yeyote awaye lazima kuna jambo anataka. Chadema tuwe makin kuchambua pumba na mchele, kuna watu wako tayari at...
Pole mkubwa!
Nafikir huyo binti hana medical problem inayompelekea kuwa hivyo, nachokiona mimi ni saikological problem, she has set her brain in that perspective hivyo na mwili wake unarespond accordingly. Mi niliwahi zoea na kupenda sana kuwa tungi kabla ya sex, mpaka ikafika hatua nikahisi...
hakuna lisilowezekana ktk dunia ya leo, ndio anaweza kuwa nayo au akawa hana, na siku ya kuoana akatengeneza ya kichina! its hard to know. Ila mi napenda shake before use, ukimuoa ukakuta hana au anayo ya kutisha itakuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.