Hivi jamani kumtukakana mwenzio ni halali tena mbele za watu?Kuna mafumbo unaweza tumia badala ya direct confrontation.Kwa kweli maneno ya jana hayajafurahisha kabisa.Wale ni watu kama wengine na wanastahili kuwa na heshima zao kama wengine.
mimi iko punguza foleni,iko engeza mabasi ya kichina,iko jenga flyover na tayari kwisha agiza treni za mjini,iko panga eno kubwa ya machinga ktk jumba moja ya babu yangu tena bureeee! Iko harakisha ujenzi wa daraja la kigamboni.Iko badisha Dar zaidi ya Nairobi.Barabara che.Haste haste!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.