we rejao umekalia kitufe nini?
Mimi nitaandika rais superstar unaetumia kodi kwenda kubembea kupiga picha na 50 cent, beckham, p diddy, kwanini usipige picha na kina boban?
Sidhani kama pia na wewe uwezo wako wa kifikiri na kuzungumza mambo kama uko sawa kwa sababu hizi
1) Chama chako kina tegemea cheap popularity I mean depending on uneducated people na watu wafuata mkumbo
2) Wewe unaendekeza umasikini hakuna unacho kifany acha kupiga domo matendo yanaonekana...
Mi mwenyewe natamani kujua kama lema anasema uwongo au anasema ukweli
Maana (1) CCM wapo kichama zaidi
(2) Wote ni mazuzu na wanaofanya vitu kwa mazoea na sio kwa kufata kanuni na taratibu
(3) wengi ni wajinga na malinbukeni hasa wale mijizee yenu
(4) Mwenyekiti wenu hatuna imani...
halfu wote sasa ni CCM halafu haohao wakiskia posho inaongelewa wanaamka na kupinga vikali ..
Dah hii kweli kiboko ila ndo mjionee majabu ya nane hayo ya dunia
Shame on yourself since you dont know what you have written
2) You dont have any point on your thread which you have posted above go and check if your head is working properly
3) I dont think if you are clean enough, to point your dirty finger on CDM you had to tell your so called dady first...
wewe wasema kuna wajinga wengi sana inchi hii
mimi nadiriki kusema wabongo wengi ni majinga, wasaliti, wanafiki na wengi wao hawajui nini kinaendelea mimi sipendi mstakabali huu uliopo mpaka sasa ila sometimes naona bora yaendelee kunyonywa mpaka yawe kama nyonyo za mbwa mzee..
Mimi binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.