Wapendwa wana JF mimi naona hiyo siku ilikwishaanza.Maana ya hii forum (ninavoelewa mimi) ni kuelimisha jamii sasa jamii imeelewa tayari na ina hasira kali!! Jamii imejua chao (kilichoibwa)imeamua kukifata Bunju kilikofichwa.
Ufunuo,
farasi wa kwanza...kujua chako.
farasi wa pili ...kupata...
Mnakumbuka masomo tu michezo?
1.BABA NA MAMA.
2.AMSINI PUTUKA.
3.KUCHONGANISHWA ILI MPIGANE (KUPUNJA)
4.KUJIFICHA.
5.JUONGEA KINYUMENYUME.
Yaani ni mingi mpaka basi.
Mhhh kazi kwelikweli.Ninasoma hii habari nashindwa kuamini kuwa Mangula aliyesifia ushindi wa kishindo wa 2005 anagundua leo kuwa kuna rushwa ndani ya THITHIEMU na kuna wanamtandao,KWELI KAZI IPO.
Mafuchila wapo wanaohitaji maombi,nami ni muombeaji tu kwa kweli kama uko karibu na huyu ndugu mshauri aingie kwa hii forum nitamuombea japo niko mbali kidogo na home.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.