"jamaa 1 alizamia semina ya wasomi iliyofanyika ubungo plaza; watu wakaanza kujitambulisha wa 1; Naitwa Anna niko SUA mwaka wa2 nasoma Agriculturist
WA2; naitwa alex nipo UDSM mwaka wa3 nasomea public relations
wa3; naitwa Scholla niko UDOM mwaka wa3 nasomea computer science
Jamaa; kwa...
Mke alikufa, akakutana na mumewe mbinguni. Akamwambia 'mume wangu bora tumekutana tuendeleze mapenzi yetu.'
Mume akajibu 'weee! Weee! Tuliapa kifo ndio kitatutenganisha. Huku mbinguni nipo single, kuna malaika namfukuzia usije ukaniaharibia buree.'
Chezea Life after Death wee!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.