Ndo wale wale NATO waliokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akafa.
Hakuna chochote walichopeleka kwa mzee mandela, ila utalii wa kimagharibi tupu... Nothing to infinity nasema
NATO (Northern Atlantic Terrorism Organization) ni wahuni wanataka mafuta tu hao. Maisha ya Libya yalikuwa mazuri kuliko hata mataifa mengi ya ulaya. Kwa hiyo hata siku moja hawako tayari kuona Afrika inaendelea. Waasi na NATO ni washenzi tu hao. Ok ni vema ngoja waendelee kucreate kasomalia...
Waasi wa libya ni wahuni tu wale. Ghadafi for Libya. Mapunduzi ya waasi wa libya ni ya kihuni wakisaidiana na North Atlantic Terrorism Organization (NATO)
Ni kwa wale wasioona tu ndiyo wanaunga mkono waasi wa Libya na ndugu zao wa NATO. Mapinduzi hayaji kwa kuiga kilichofanywa Tunisia na kifanyike Libya. Waasi, NATO na vitaifa vya kijinga vya kiarabu vinafanya biashara ya damu katika mafuta. NATO na Waasi lao moja siyo kulinda raia ila ni kuua na...
Jamani huu ni mradi wa umeme siyo kama kulima nyanya, leo mwezi wa pili harafu unasema mwishoni mwa mwaka eti mtazalisha MW 300 na kuingiza kwenye grid!!! Mbona stahiki za wanachama wenu wanasumbuka sana kuzipata kulikoni NSSF?
The man is kidding. He enjoyed in Ghadafi's regime, then today he dont want Ghadafi ehh. He is preparing to get new post in the comming regime I guess. People they are after money I tell you.
Aliyetoa hoja hiyo ana matatizo. Kinacho shabikiwa hapo ni Ghadafi aondoke madarakani. Hata hivyo nafurahi kusema ulaya nao wataweza angalau kuonja makali ya somalia nyingine huko kaskaz. Issue siyo pamba hapa kuwa wazi tu...
Sasa kama ameolewa kwa nini asimwambie mme wake hilo suala? Yeye amwambie mme atapima siyo kufichaficha. Sasa ukijulikana na hakuwahi kumwambia itakuwaje? Lazima awe muwazi kwani alikuwa anafaidi enzi hizo sasa kwa nini domo liwe zege.
Hii nayo kali. Unataka waandamanaji wa Tanzania washughulikiwe! Kwa mawazo yako hapo ndiyo unawekeza katika amani na utulivu? Wewe Mahesabu hiyo hesabu yako siyo kabisa.
Ushauri kwa CCM: Mijadala mikubwa kama ya katiba wajitahidi kupeleka mtu mwenye kuelewa mambo vinginevyo itakuwa mnafanya kama maigizo na kutoa hoja za kitoto. Kwa mfano mjadala wa katiba wa ITV, Tambwe Hiza kaongea nini? Alikuwa kama mtoto wa primary school. Ebu kuweni makini na mambo ya msingi.
Wewe mkuu una matatizo kweli. Polisi wamepiga watu risasi, wakaua harafu unasema walikuwa sahihi! Sahihi katika kuua. Kwa mfano Josephine ilikuwaje akapigwa namna ile? Alikuwa jambazi? Je aliongea nini akiwa anapigwa? Bado unasema padre mwenzako eti kaamuru kuwatoa mahabusu! wewe ni padre? Basi...
Suala la Palestina na Israel acheni kulijadili kiupambe tu. Suala hili ni gumu sana inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Maana hawa wote Israeli na Palestina wanatoka mbali yaani kwa Ibrahimu/Abraham. Jiulize Ibrahimu alitoka wapi? Na je kipindi anahamia hapo Yerusalemu hakukuwepo na mtu? Je...
Suala ni Taifa kujielekeza katika vyanzo mbadala, na huduma ya umeme iboreshwe kwanza halafu ndiyo bei ipande siyo zigzag namna hiyo. Hivi wahusika huwa hawasomi issues ziandikwazo na wapenda nchi.......
Naomba nichangie kwa mara ya kwanza. Hili suala la bei kupanda za umeme halafu na mgao, ni tatizo litokanalo na mipango isiyokuwa endelevu katika suala la umeme. Unaweza ukatoza bei hiyo lakini huduma iwe ya uhakika. Tanzania inatakiwa kutumia vyanzo madhubuti katika kuzalisha umeme kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.