Kweli ujinga ni sifa kama ilivyo ufupi au urefu.
Fikiroa mtu analinganisha nchi ambayo eneo lake ni kama ukubwa wa mkoa mmoja wa Tanzania na nchi nzima ya Tanzania.
Tanzania 945,087 sq. Km
Haiti 27,560 sq. Km
Tanzania population 65m
Haiti population 11.45m
Tz GDP per capita $1,080
Haiti...
Kauli ile ya Samia kuwa eti katiba ni kijitabu tu, kwa nchi za waelewa ilitosha kabisa kwa yeye kuondolewa mara moja kwenye kiti cha Urais.
Katiba uliyoapa kuilinda unaidharau na kuiita kuwa ni kijitabu!! Kama huheshimu katiba, unaongoza nchi kwa kufuata nini?
Rais hajui kuwa bila katiba...
Kwanza marehemu hawezi kulaumiwa kwa kutaka kupelekwa kwao au hata angetamka chochote muda huo.
Katika hali kama hiyo ya kukielekea kifo, mgonjwa anasemehewa kwa chochote anachoweza kusema.
Tukio lile la yeye Samia kutaka kuporwa mamlaka ya kikatiba ilitosha kabisa kwa yeye kuona umuhimu wa kuwa na katiba mpya yenye nguvu isiyo na mianya ya kuichezea. Lakini hali imekuwa tofauti.
Tumebahatika mara moja kwa sababu ya hekima ya CDF. Je, tutaendelea kubahatika ikitokea tena na tena...
Ni miaka 3 imepita tangu Rais Magufuli afariki. Ni jambo la kawaida, hasa siku ya maziko au wakati wa kutangaza kifo, kutolewa taarifa za kina za mazingira ya kifo cha marehemu, na kama pengine marehemu alitoa kauli yoyote. Haikuwa hivyo kwa Hayati Magufuli.
Wengi walipenda na walikuwa na...
Siyo kila Rais anapougua, nchi inaachiwa kwenye uongozi wa mtu mwingine. Kasome vizuri katiba ya nchi, ndiyo utaelewa.
Kama Rais ataugua zaidi ya miezi 6 kwa kiasi .cha kushindwa kutimiza wajibu wake, ndipo anapotakiwa kukasimisha madaraka yake kwa wale wanaotajwa na katiba.
Rais Magufuli...
Umeandika ujinga gani huu? Ulitakiwa uandike hao CHADEMA wamefanya kisasi gani ili watu wajue. Lakini kwa namna hii uliyoandika, unaonesha uwezo mdogo wa akili katika kujenga hoja.
Kwa hali aliyokuwa nayo marehemu wakati huo, ilikuwa ni wakati delicate sana. Hofu ilikiwa kwamba wabaya wake wangeweza kuitumia kummalizia. Ndiyo maana wakuu wa vyombo vya usalama wote walikuwa pale ili kuwa na uhakika kuwa hali yake mbaya ya kiafya haitumiwi na mahasimu wake. Hivyo hata...
Kwa hatua kama hiyo, kilichokuwa muhimu zaidi ilikuwa ni maisha yake ya baadaye, yaani maisha baada ya kifo. Ndiyo maana alitaka zaidi viongozi wa kiroho kuliko mwingine yeyote.
Tunafundishwa kuwa katika ufufuo hakuna hata familia wala ndugu wa damu, wote huwa ni sawa kama alivyo mwingine yeyote.
Tusilaumu tu, twende kwenye uhalisia.
Kuna wakati, hata kwenye familia, nani apewe taarifa kwanza juu ya hali ya mgonjwa kuzorota au kifo, hutegemea zaidi wewe mwenyewe umejiweka karibu kiasi gani na huyo mgonjwa au marehemu.
Kama huwa unaenda kumwangalia mgonjwa kila mara, unapenda kujua hali...
Mwanadamu hastahili kuishi au kuwa huru kwa hisani ya mwanadamu mwenzake. Kama mtu amekosea, kuna taratibu zilizowekwa katika jamii, ndizo zinazotakiwa kufuatwa, na siyo vinginevyo.
Kuhakikisha watu hawaonewi, Rais Samia ni wajibu wake wala siyo hisani au huruma.
Tunaposema kuwa Rais Samia...
Mdude na Lisu, kuishi kwao mpaka sasa, ni kwa sababu Mungu aliamua kwaonesha wanadamu kuwa yeye akitaka mwanadamu asife, inakuwa hivyo.
Waliompiga risasi Lisu, walijiaminisha kuwa kwa namna ile walivyomchakaza, alikuwa tayari amekufa. Alipofikisglhwa hospitali wakajiaminisha kuwa hata kama...
Ukiishatambua kuwa pamoja na mengine yote, iwe ni madaraka, utajiri, au umaarufu wowote, bado wewe ni mwanadamu ambaye upo sawa na mwingine yeyote katika mwanzo na mwisho wako, hakika utaheshimu utu na ubinadamu wa mwenzako.
Kila mwanadamu, bila ya kuangalia alizaliwa mazingira duni au ya...
TANU YOUTH LEAGUE ilikuwa inawalea vijana kuwa wazalendo, lakini UVCCM ya leo inawafunza vijana kuwa majambazi ma mafisadi kupitia siasa.
UVCCM ndiyo chanzo cha wasiojulikana kupitia green guard.
Ukitaka kuijua UVCCM ya leo, mtazame muuaji Makonda, jambazi Sabaya, fisadi January and the like...
Mambo yaliyopunguza sana kuaminika kwa Rais Samia, ni pamoja na suala la kuwapa bandari DPW na kuyapa makampuni ya huko Uarabuni hifadhi za Taifa. Jambo hilo limeleta wasiwasi mkubwa kama Rais ana dhamira ya kulinda rasilimali za nchi kwa maslahi ya sasa na ya baadaye ya Taifa.
Mbarawa, Rostam...
Niliambiwa na mmoja wa watu waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi, wakati wa malipo yale yaliyolazimishwa na marehemu kuwa washtakiwa wote wakiri kosa, ndipo nilipoamini kuwa nchi hii hakuna wa kumwamini!!
Jamaa aliambiwa kuwa ameisababishia Serikali bilioni 1. Kwenye bargain ili aachiwe...
Mazingira yake wakati wa toba yake yalikuwa yanamwezesha kuwafikia hao aliowakosea?
Hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Yule jambazi aliyesulibiwa msalabani pamoja na Yesu, hakuna aliposikika akiwaomba msamaha aliokuwa amewakosea. Yeye alisema tu, "..... sisi tunapokea malipo ya matendo yetu. Ee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.