Search results

  1. K

    Shoka la TRA latua CHADEMA

    siasa uchwara
  2. K

    Kitimtim Bungeni: Wenje atolewa nje ya Bunge

    tunaelekea huko Dr siku si nyingi......... wait
  3. K

    Ephrahim Kibonde ana CHEO gani CCM?

    maoni yake waziwazi ndio kila siku aishabikie CCM wazi wazi kwenye radio, CLOUDS ni radio ya WATU (wote) na si ya wana ccm(pekee).
  4. K

    mazoezi ya ndege za kijeshi dar es salaam leo ina maana gani?

    walianza na mabomu, leo ndege, hatishiwi mtu
  5. K

    Spika: Milipuko ya mabomu Gongo la Mboto sio jambo la dharura!

    spika mweupe kweli, sasa jana bunge liliahirishwa la nini, ule muda wa jana wangetakiwa wafanye tafiti at ikifika leo watupe angalao expected causes za ya hayo mabomu kulipuka, hii nchi hiii, ila pole pole tuu wote hawa wataondoka, maana naamini kwamba hata huyo Mwinyi hatajiuzulu, Davis M naye...
  6. K

    Pinda ahitimisha mjadala wa hotuba ya rais bungeni

    kaka yaleyale PM akiulizwa kuhusiana na hizo takwimu, atasema KAAMBIWA. Hivi hakai chini kusoma na ku analyse mambo kabla ya kupresent, kwani enzi hizi si zile za kudanganywa? Au ni kwa vile anajua kila atakaloongea bungeni kuna wapiga makofi wengi ambao hawajui hata wanapiga makofi kwa ajili gani?
  7. K

    Kumradhi:Mh RAIS JK alitutakia mwaka mgumu/wa shida 2011 wakati wa hotuba 31/12/2010

    safi mkuu illa nina was wasi kama huyu jamaa ataelewa
  8. K

    Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

    wanapoteza muda wa kupeana salamu za valentine, usituharibu vichwa vyetu, kaa kimya, usikurupuke
  9. K

    Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

    wanapoteza muda wa kupeana salamu za valentine, usituharibu vichwa vyetu, kaa kimya, usikurupuke
  10. K

    Waziri mkuu awachambua CHADEMA; Lema amtuhumu kudanganya

    hapo ndipo utaona upeo mdogo wa Spika wa kuchambua kanuni/sheria, kwani hata ile kanuni ya kuanzisha kambi ya upinzani (12.5% au zaidi ya wabunge) alishindwa kutoa maamuzi wakati vitu viko wazi.
  11. K

    Yanayotendeka usiku baada ya bunge yanaonyesha wazi hatuna wabunge

    eg. Mwananchi 10th Feb 2011, front page: Komba kalala, halafu wanasema anafuatilia kwa makini.
  12. K

    Nchi hii haitawaliki tena!

    washikaji kwa hiyo hata u serious unapungua. tunakoelekea si kuzuri ila wananchi wenyewe tuwape support wale wanaojitahidi kuleta mabadiliko.
Back
Top Bottom