Kijana merengo90,
Hakuna haja ya PM hapa. Ni jukwaa la kusaidia watu hapa. Kama kuna kitu unakielewa basi mwaga hapa na watu woote wanafuaine. Kama ulivosema, Mungu atazidi kukubariki kwa kuwa mbaraka kwa wengine. tuache tabia ambazo baadhi ya watu kama #appoh za kutaka kufanya biashara badala...
Pole saana Kijana appoh kwa njaa.
Hujui matumizi ya jukwaa hili. Jukwaa hili lilianzishwa mahususi kwa ajili ya kusaidiana katika matatizo mbalimbali hususani ya kiafya. Halikuanzishwa kwa ajili ya biashara. Msaada unaweza kuwa wa ushauri, maelekezo tiba ilipo, na hata kama unajua tiba basi...
Pole dogo wangu,
Acha hiyo kitu, tuliza akili yako na soma hapa chini!!!
Pole saana CHEUPE Josephina,
Ushauri sahihi ni huu hapa: Nenda hospital, mwone daktari, utapimwa, na hope utapewa tiba sahihi. Mimi nilisumbuka saana, niliibiwa hela, nililishwa pumba nyingi mnooo. Sikupata tiba. Hata...
MziziMkavu,
Ushauri wangu ni kuwa waambie watu wapime kiwango/kiasi cha hormones mwilini ili waweze kujua tatizo ni nini hasa. Wengi ambao wamefuata ushauri wangu walikuta hormones za kiume zimepungua na walipopewa hizo hormones maisha yamerudi na wako fiti. Hii kasumba ya kusema njoo upate...
Ndugu Zangu wanaJF poleni na Mihangaiko ya kila mara na haya na yale yanayoendelea humu kwetu. ni upepo utapita tu.
Mwaka jana nilipost humu jamvini thread kuomba msaada wa tiba ya nguvu za kiume. Kwa kweli ni tatizo lililonisumbua kwa muda mrefu. Sikuwa naweza hata kusimamisha kwa dakika...
Pooe saana Tanki,
Ila nakuhakikishia kuwa utapona kabisa na utarudi kutoa ushuhuda hapa jukwaani. Soma hapa chini aafu ni-PM.
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/391345-ushuduhuda-upungufu-wa-nguvu-za-kiume-tiba-halisi.html
mudushi
Sasa wewe mtoto wa mama umeibukia huku baada ya zeUtamu yako kufungwa ati. Daah ila mna bahati mbaya nyie. Urais ..., Ubunge... Mmebaki kujiita Matingatinga. Nenda kale ugali wa Anne wewe.
Uliapa kurudisha kadi yako ya chama chako kama rais atawasikiliza wapinzani, mbona hujafanya ivo?
Yaani hizi ni chuki za wewe na Ustazi John baada ya kushindwa kuishi IKULU. Tunajua mnavyomuunganisha mzee huyu Warioba na kushindwa wewe na baba yako kwenda kuishi ikulu. Vipi ule mzigo mliopokea toka Uarabuni ulishaisha?
mudushi
Pole new generation,
Tiba sahihi utaipata kutoka kwa madaktari wataalamu. Cha kufanya nenda hospital, ongea na daktari kwa uwazi zaidi. Utapata tiba sitahiki. Ona waweza pimwa kiasi cha homones na kupewa matibabu. kama uko DSm basi nenda MNH, kama uko mkoa basi nenda hospital za mikoa. Kama...
Habari wana JF,
Nimesoma hapa na kupata baadhi ya taarifa ambazo zinaweza kuwa msaada kwa waathirika wa PUNYETO. Someni haafu mtupie ushauri wenu. Nimeshindwa kutafasiri kwa Kibongo. Mwenye kuweza asaidie tafadhali. Sounrce Did you know... that over-masturbation can permanently destroy your...
Sirpartsons,
Nenda hospitali mwone daktri. Baada ya maelezo yako kwa daktari, waweza pewa dawa na ushauri wa kutosha. Kama uko dsm nenda MNH, kama uko mkoa basi nenda hospitali za mikoa.
Kama wahitaji maelezo zaidi, basi ni-PM,
mudushi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.