Mmoja wa wapigakura wa jimbo la igunga aliwahi kumuuliza RA kwanini katika kipindi chake chote kilichopita kama mbuge wao hakuwahi kuiuliza serikali swali lolote kupitia Bunge? Mh. RA alijibu mipango yote ya serikali anaijua na anashiriki katika kuipanga kwahiyo kuiliza maswali bungeni ni sawa...
Suala la uspika kweli ni tata kwa chama cha mapinduzi, kama cc ingekuwa na uwezo ingefutilia mbali majina ya samwel sita na chege kwenye mchakato wa kugombea kiti cha uspika lengo iwe kurudisha heshima ya chama chao japo hili litakuwa pigo kwa upande wa upinzani migogoro ndani ya chama hiki...
suala la kununuliwa kwa wateule toka chadema ni ngumu kulizuia, kwa maoni yangu CHADEMA ijikite katika kuimarisha chama badala ya kung'ang'ana na watu hakuna mtu ambaye ni mkubwa kuliko chama watu watakuja na kuondoka ili kuimarisha chama napendekeza kwa kila jimbo ililochukua chadema ifungue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.