Hatari Sana. Kama kweli.
Ninachojiuliza ni kwamba, huyo mtoto baada ya kubakwa na kulawitiwa, ilikuwaje arudi tena kwa mwalimu yuleyule na aanze utaratibu wa kumpa sumu. Yaani hiyo sumu alikuwa anambugiza kwa nguvu au alimwekea kwenye chakula?
Mtoto amebakwa na kulawitiwa, ameenda kwa mama yake...
No thank you. Kwa Wanyaturu, nguo za mtu aliyepata ajali au kushambuliwa watapewa Wajomba zake. Kwa hiyo hiyo ni Mila ya Wanyaturu na sio CHADEMA.
But, waliohusika kumwaga hiyo damu watapata chawa na kujikuna sana
Upo sahihi. Hiyo ni kazi ya Dola. Yeye amepona, tunamshukuru Mungu. Lissu hawezi kuwapata na kuwafanyia chochote wauaji. So, asamehe tu. Kupona kwake ni maajabu na kutoka hadharani kuwasamehe pia maajabu. Yeye ni muujizaa
Lissu kurudi ni jambo jema lakini sio kubwa Sana maana Tz ni kwao, ni nchi aliyopewa na Mungu wake.
Jambo kubwa ambako akifanikiwa kulifanya ni Kutangaza hadharani kumsamehe Marehemu Mwendazake na wote waliotaka kumdhulumu uhai.
Sambamba na msamaha huo, apange kwenda kutembea Chatho, akaone...
Hiyo kweli kabisa. Sema wenye mbwa wengine huchukua majukumu ya mbwa! Yaani, mwizi akija hawataki mbwa wabweke kwa wivu ila wanabweka wao, kujaribu kumkimbiza mwizi na huku nyuma wezi wanamzunguka na kukwapua!!
Nami nikiwa Kama wewe kiimani nimeona SSH amekosea itifaki ya kanisa. Kiti Cha rais ni alama ya mamlaka na wote tunaoenda kanisani tunaamini tupo chini ya Mamlaka Moja na ndio maana vitu vyote vinavyoashiria mamlaka Kama Wanaume kuvaa kofia haviruhusiwi.
Mwandishi wewe ni Paul aliyekuwa Sauli? Unaandika mambo mazuri utafikiri hukuwa katili na hata kuhusika na kutoweka kwa Ben R. Saanane!
Kama umeongoka, si ungekiri hadharani na kumlaani shetani na watu wake waliokutumia kuumiza wengine
Acha ujinga na uzembe, soma. Incomplete unaiondoa kwa kufanya mtihani sio kwa juhudi nje ya taaluma.
Wewe ni kati ya wanafunzi wazembe mnaoendekeza tu starehe Chuoni. Na usipobadilika, utadisco kabisa na hiyo incomplete Yako.
Watanzania tusiendekeze uzembe katika kutafuta maarifa. Jitambue kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.