Ukiangalia kwajujuu utaona kuna ukweli. Ila imekaa hivi hakuna chamwanamke wala mwanaume eti aseme anapenda upande wamwenzie kuliko wake. Ila nikuuigiza tu hapa wanawake uguswa zaidi kwa vile asilimia kubwa ni tegemezi. Ngoja ukute mwanamke ndio anakipato kikubwa uone mwanaume aone anapeleka...
Alhamdullah, wana JF na mie nimepata kazi kwa kupitia matangazo ya humu.
Nawashauri sie tusie na marefa ukiona tangazo we tuma na umuombe Mungu tu, maana mie huu ni mwaka wa nne tangu nimalize chuo. Tusijikatie tamaa, tujaribu kufanya kazi hata za kujitolea kuongeza experience. Mungu awatilie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.