Jamani ulimwahidi mwenyewe kwamba mwili wako ni wake afanye atakalo sasa nako huko nyuma ni kwake mwache atumie atakavyo. Yote matundu tofauti majina...ukitaka ndoa idumu tunza siri yako mpe tulia isitoshe hata wewe unapata raha
Wananchi waigunga nao wanastaili lawama. Mbona Rombo wamemtosa Mramba sasa inakuwaje wao wanaendelea kumkumbatia mwizi wa mali za watanzania? RA hatufai mtanzania asiyelinda rasilimali za watanzania sio mtanzania ivyo RA awajibishwe na anyanganywe uraia
Dakika chache zilizopita serikali ya Kenya imefuta leseni ya kampuni ya 6969 ambayo imekuwa ikiendesha shindano la SMS ambapo watu wanatuma SMS kwa nambari hiyo na kuahidiwa kushinda milioni kadhaa za shilingi kila siku. Kila SMS inagharibu shilingi 69 za Kenya karibu dola moja. Hya mambo hata...
IYO NDO PRESIDENT...yani ni mu predeshee mbaya...inatupaga mahela kwa jukwaaa...ndo watu nakuita jk. akifikaga kwa kongo iko mutu mingi nashangilia yeye, asema afanana na mutu ya kongo nyeupenyeupe...tunapatia yeye ile karolite nakuwa muzuri ndo TZ mwampenda zaidi.mwapendaga viongozi HB iko...
yes nakubaliana na wewe kaisa, waende mahakamani then walio washtaki wakatoe ushahidi wa madai yao. then wathibitishe hilo but wasiwapotezee muda wao. cdm nendeni tu mahakamani ili wakishindwa kuwasilisha ushaidi wa kiitelijensia walio sema wanao tuwawajibishe wao
wanawake wote ni sawa ila kimwonekata i mean morphology na mmetofautiana. Yupo anaejua kucheka vizuri na kushawishi,mwenye lips za kuvutia yani kwa kifupi kila mmoja ana kitu tofauti na mwenzake. Ila kwa kiungo (uke)ni ulele bt nao unatofautiana test.
Hivyo mwanaume anapkuona hukujengea picha...
Tamko la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Juu ya Mauaji ya Wananchi wakati wa Maandamano ya Amani yaliyofanyika Arusha tarehe 5 Jan, 2011
UTANGULIZI
Tumekutana hapa leo hii kwa huzuni kubwa. Tumekutana hapa leo hii kwa sababu watoto wa familia mbili wamepoteza baba zao na mama wa...
lengo ni kuwaonesha ccm kwamba makamba ni mmoja waviongozi viraza walio nao na si kumpambanisha na Dr Slaa. CCM wanamwamini sana makamba na nazani ndo kichwa chao so nadhani jibu wamelipata
Richmond ilikuwa feki sawa hilo tumethibitishiwa na kamati ya bunge chini ya mwenyekiti wake mwakyembe. Kwasababu ilikuwa feki hata mkataba wake ulikuwa feki nalo ni sawa tumekubali.
Dowans inarithi mkataba feki wa richimond kamati ileile ya mwakyembe inaona...na viongozi wote wako. Leo...
Naomba tuwalinganishe hawa makatibu wa vyama hivi tuone nani zaidi kwa vigezo vifuatavyo:-
1:Kiutendaji
2:Ujenzi wa hoja
3:ufafanuzi wa hoja
4:Uwajibikaji
5:Usimamiaji wa haki za wanachama na taifa
6: Uwezekano wa kumsimamisha kugombea nafasi kubwa kama ya Uraisi
7:Uelewa wa katiba na sheria za...
Mwema usitundanganye na intelijensia yako feki...mapolisi wako form IV watajulia wapi intelijensia tena kwa ubora huu wa elimu ndo hakuna kitu,wanatumia matope badala ya ubongo. Hata wewe na mashaka na wewe uelewa wako...wa iyo intelijensia inaonesha wakati wa mafunso ulikremu hukuelewa. omba...
iyo kweli mi binafsi nahitaji kumuona kwa sura huyu nduli wa kike,mwenye ujuzi wa kuropoka. Mwanamke asiye na staa,anazania siasa kitchen part. I hate you B.....ch
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.