Sawa ni kazi yake, lakini anaonyesha wazi anaifanya kwa weledi ndo maana tunamsifia... after all kinakuuma nini au inakugharimu nini mtu akisifiwa? Nyinyi ndo type ya wale watu hata ukipewa huduma nzuri na baa medi husemi asante kisa eti si kazi yake, asante ya nini....una element za unyama...
Nimefurahishwa sana na kitendo cha ITV ikishirikiana na UDSM kukubaliana kurusha midahalo ya wagombea urais 2015 live mara ifikapo kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka huu.
Bibie Joyce amekuwa mstari wa mbele kuifanya ITV kuwa kituo bora cha matangazo TZ na hata nje ya mipaka yetu - kweli ITV nyinyi...
Ebu rudini kwenye mada, idadi ya pkpk Tz sio issue hapa, issue ni halali kutulipisha mara mbili plate namba wakati kosa ni lao wenyewe kutoa namba za magari kwa MC yaani motor cycles?
Aliyeitwa "Tumbili" na Jaji Werema ana kila dalili za ushindi katika hii ishu. Sasa naona Jaji atamuita tumbili "Ipuma Ilume" yaani kwa lugha ya hapo mkoa wa mjengoni kigogo ina maana nyani dume lililo kubwa kabisa sio kitumbili...!:becky::tonguez:
Kipi ni sahihi sasa? Kuna mwenzako kaanzisha uzi mida hii hii CHADEMA wabwagwa na wafadhili wa nje. Kwamba - kaongezea wamefilisika hawana hata uwezo wa kurusha chopa.
Napenda kuuliza kwa wanasheria kama mimi ni mwajiriwa wa kampuni na nilikopeshwa nyumba na kampuni 2002 na baadaye mwaka 2005 nikamuoa mwanamke aliyenikuta ndani ya nyumba hiyo na nimeshaanza kukatwa deni.Miaka kumi baadaye yaani 2012 deni limekwisha, nyumba ninaimiliki kwa 100%.
Sasa...
Jmaye usihangaike na misukule. Iwe kwa roho safi (mnapiga matunda) au kwa roho mbaya (mnaua nyoka, manyigu) Dr. W. Slaa kiboko yao hawaishi kumtajataja. Wao mnaomtajataja ndo tuwapime akili.....
Source: Jana taarifa ya habari (kati ya star TV au Ch. 10) sikumbuki vizuri channel, ila ameonekana Mh. mbowe akilalamika hayo kwenye Kikao cha Kamati Kuu CDM.
Aliongeza kuwa hii ni mbinu ya kuharibu kura za CDM.
Take: Inawezekana itakuwa ukikosea kuchora nembo tu kura inaharibika hasa kwa...
Mstahiki Meya hii sio habari waambie na hao hapo pichani.
Kifurushi hiki kipo siku zote na mimi nilinunua ungo wao mwaka jana mwezi Agosti nilikikuta na ndio hasa natumiaga kila mwezi hata sasa. Nashanga mnaposema kinazinduliwa wakati tunatumia kila siku.
Habari ya mujini tunayoingoja toka...
Soma vizuri uelewe kisa.
Polisi wangefanya kazi yao kwa weledi ya kuwakamata na kuwachukulia hatua stahiki haya yasingetokea. Tabu ni pale unapoanza kumpiga mtu, si kwamba wanajeshi hawachukuliwi hatua ila ile kupigwa ndo tabu. Kutovaa helmet sio maana yake nipigwe! nadhani hata wewe unge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.