Search results

  1. markach

    CUF yaendelea kumeguka ambapo Vijana zaidi ya 300 wajiunga na CCM Mtwara

    Kumbe yeye anaruhusiwa kufanya siasa??
  2. markach

    Dr. Mpango alalamika Wajapan kufanyia mkutano hotelini badala ya kumbi za serikali, wenyewe wamsuta

    Ndugu yangu, umemtetea sana Waziri, mm sipingani na hoja yako lkn ujue pia yeye ni mwanadamu anakosea pia. Tuseme tu hapa Dr mpango alikuwa na nia njema lkn hapo hapakuwa mahala pake. Kumbuka Lazima tu-stimulate uchumi wetu, bila hivyo hata hizo hotel zinashindwa kujiendesha. Serikali imekataa...
  3. markach

    Tatizo la umeme limefikia mahala kwa watanzania kuandamana nchi nzima

    Hatauwezi kuwa na maendeleo kama umeme utakuwa sio imara. Ili kukuza uchumi wa nchi nishati ni moja ya vitu muhimu sana. Kuanzia majumbani, makazini viwandani etc. Hawa Tanesco wanapandisha bei kila siku, lakini hawaboreshi huduma mi nafikiri pia hii wizara imekuwa sugu na imeongozwa na mawaziri...
  4. markach

    Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

    Mi nafikiri hakuna ubaya wowote kupanga mkakati ya ushindi. Sidhani kama unaweza kushinda bila mkakati. Hata Lowasa anaitaji urais na anaendelea na mikakati yake na CCM wanajua lkn wamenyamaza. Mi sioni hapo kitendo cha kugawa chama bali ni kuimarisha chama kwa kuja na mtazamo tofauti. Tuwe...
  5. markach

    Wanaume : Kwanini mnapenda kula bar?

    Je njia mnapika nyumbani? kila siku mnawahachia ma mecury ( Hg) kupika chakula, alafu unataka nije nile chakula home? je kina utofauti gani na cha bar? mjirekebishe na muanze kuwapikia waume wenu nasi tutakula nyumbani
  6. markach

    Haloo!!! Hapana chezeya kuwa dumped. Unaweza kunywa sumu

    Mpe pole sana ndugu yetu. Hapo cha kujifunza ni kwamba kati yetu wanaume na wanawake tuna mtazamo tofauti lipokuja suala la uhusiano. Wakati mwanaume ameweka ngono ndiyo chaguo lake la Kwanza na ndoa baadaye, Ni kinyume na Mwanamke ambao mara nyingi uweka ndoa ndio chaguo la kwanza ngono...
  7. markach

    Waziri Kigoda - Bungeni Leo

    Nami pia nimemkubali Dr Kigoda hakuonesha mbwembwe hata kidogo. tunaitaji mawaziri kama hawa ili nchi kusonga mbele.
  8. markach

    Wakazi wa UKONGA waapa kuandamana hadi bungeni

    Losambo umenena kweli, Hi barabara ya Kutoka pale reli(Njia ya kwenda Kitunda) ni mbaya kupita kiasi, Madaraja yamebomoka, Diwani sijui yuko wapi na anafanya kazi gani na Mbunge ndiyo amelala kabisaaaaaaaaaaaa. Ifike wakati sasa wananchi tuwaajibishe hawa viongozi wetu ambao wamekaa tu na...
  9. markach

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    Ss tunataka apunguze inflation rate, pamoja na kuinua sarafu yetu dhidi ya fedha za kigeni.naona yy ni mwana uchumi, naibu wake mwanauchumi, let give them time and see what proposal they will come in next budget meeting
  10. markach

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    MMK unamaanisha january makamba ndiye kapewa sime? Let us wait and see
  11. markach

    Kitanzi kwa wafanyakazi nchini: Pensheni sasa mpaka ufikie miaka 55

    Habari hii kama ni ya kweli mi imenistua sana, kuna hatari ya pesa zetu kuliwa nasi tukabaki tunalia tu. Hakika ni kwamba itafika kipindi ambapo hii mifuko haswa nssf itashindwa kulipa mafao ya wastaafu kwani inakisiwi kuwa kuanzia mwaka 2020 idadi ya wastahafu itakuwa ikiongezeka kwa kasi...
  12. markach

    Je, Zitto kaiangusha serikali ya JK?

    Jk jiandae, haya ni mapambano na yanaendelea. Watch out for part 2
  13. markach

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Ngoja tusubiri nasikia kuwa wameitisha press conference. Wenye data kamili walete
  14. markach

    Makinda ampinga Zitto hoja ya Kumuondoa Waziri Mkuu

    Wana igunga hapa mmetoka kapa
  15. markach

    Bold 9700 first class

    Si imeshatumika, Ni PM mm nitakupa 250,000
  16. markach

    UPDATES: Kikao Cha Waziri Mkuu na Madaktari CPL (Central Pathology Laboratory)

    Pinda umekula matapishi yako. Ulitishia jamaa wakafanya kweli, Ongereni sana madaktari, muwe na moyo huo huo wa ushirikiano wenu
  17. markach

    Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

    May his soul R.I.P
  18. markach

    siri ya jinsi ya kujiajiri!!!

    mbona hauweki full details?
  19. markach

    CHADEMA chazoa viti Mbeya vijijini, CCM hoi

    CUF naona bado wanagombana
  20. markach

    Jairo kwenye Jarida la the Forbes

    Mh! Watanzania utajiri wao hauwekwi wazi, kwani vyanzo vyake havijulikani. Mara nyingi unakuta ni utajiri wa deals
Back
Top Bottom