Mpaka umeandika andiko hili una uelewa kuhusu hicho ulichokiandika, tuambie kwanza kwa uelewa wako wewe unaona nini badala ya kutusukumia sisi, what is your position?
Wewe huijui Arusha ndio maana unapiga kelele, nenda kamuulize Lema ana majibu mazuri kuliko huu upuuzi wako unaoandika!
Arusha will never back kwenye siasa za kihuni chini ya wahujumu uchumi kama wewe!
Ukimuona mtu anatumia muda mwingi kumjadili kiongozi fulani anayechapa kazi kwa uaminifu kwa manufaa ya Taifa ujue ana matatizo na anahitaji kuombewa! Mtoa post unapoteza muda wako bure tumia muda wako kufanya kazi acha umbeya na zaidi ya hayo
1. Unamuogopa
2. Maslahi yako maovu yameguswa
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.