Kuna Mahindi ambayo Marekani imetoa msaada kwa Tanzania.
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kawa na wasiwasi nayo. Amedai yamewekewa Virutubisho ambavyo havijulikani.
Pia Waziri kasema Tanzania tuna Mahindi mengi hayana Soko, hivyo wangetumia mahindi yetu na kuweka Virutubisho Watanzania wakiwa...
P, ile ya Regina Mtema nakumbuka tulikuwa tukikutana pale ukiwa MC. Kinachoniuma ni jinsi watu hawakitumii kipawa chako cha UMC. Mungu azidi kukubariki Wewe una kumbukumbu sana. Unaturudisha nyuma kitambo.
Heka heka zake za kulinda chama ndo zilisababisha kifo cha Wanafunzi Akwilina Akwilini Bafta. Sasa hivi wanaopata tau ni Maasikari walotuma kuwadhibiyi Chadema
Mimi katika kuishi kwangu nilijua Waharifu ndo wanadukua Mitandao ya Kijamii kama Facebook, Instagram, twitter, Whatsapp nk, baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar Samweli Shammy kupasua jibu na kuweka wazi kinagaubaka jinsi alivyo dukuliwa nikashangaa sana.
Nimeshangaa kusikia...
Wakuu salaam
Kama tunavyojua, kwenye Nchi yetu bado kuna Mvutano wa Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi baada ya kubainika kwamba Wakurugenzi ni Makada wa chama cha Mapinduzi.
Hivyo Vyama vya upinzani vinaona havitendewi haki uchaguzi uchaguzi kusimamiwa na chama shindani.
Lakini pamoja na yote...
Kwa ufupi sana.
Siku ya Kimataifa ya Wanawake inatambua mafanikio ya wanawake, bila kujali utaifa, kabila, dini, utamaduni, lugha, hali ya kiuchumi au mwelekeo wa kisiasa.
Siku hii pia huongeza chachu katika harakati za mapambano katika usawa wa kijinsia kwa wanawake na wanaume katika jamii...
Na Mwandishi Wetu
NI ukweli usiopingika kwamba majadiliano ya mikataba, hasa ya mafuta, gesi, madini na maliasilia nyingine za nchi huchukua muda mrefu kukamilika.
Hili ni jambo la kawaida hasa kwa Serikali ambayo ni makini na inayobeba jukumu la kulinda utajiri na maliasilia za nchi...
Kila siku watu wanaelekezwa hata thread ishaanzishwa lakini bado watu wanalalamika.
Soma hii.
Thread 'App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi' App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Salaam Wakuu,
Hivi kuna mtu bado anapata changamoto kwenye kutumia application ya Jamiiforums?
Kwa wale wa androids tumieni hii link.
Acha kulialia
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.jamii.app2024
Mkuu, tuweke Kumbukumbu sawa. Mlichimba wenyewe au Wafadhiri ndo waliwachimbia maji?
Je, Makusanyo ya Maji nani anapokea hela, RUWASA au wenyewe Wanakijiji? Kama Wanakijiji, Mwezi mnakusanya kiasi gani?
Je, Kijiji chenu kimejiunga na Jumuia za Maji vijijini? Nani anapima Usalama wa maji?
Wametoka wanapotoka huko urusi, Wakaja Ukraine kuangamiza kizazi cha Ukraine. Wameangamia wao. Warusi walikutana na kichapo cha HIMARS huko Trudivske Mkoani Donetsk. Makomandoo wa Urusi 65 wamekwenda na maji.
Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.