kwaio km slaa mpayukaji inamaana tusifanye mabadiriko? ht km ni mpayukaji tunataka tumpe tumpe tuone na yy km atatuzingua basi tutabadirisha tena tutaendelea lini kwa kung'ang'ania chama kimoja miaka 50 sasa kila siku ni longolongo? mi namtaka huyo huyo mpayukaji
we need changes,tusiwe wapuuzi na wapumbavu,kenya kanu iliwazingua wakaitema,kwann sisi jmn tusiiteme? wanatuletea maisha magumu kila kona.rostam mwizi kikwete alipofika jimboni kwake igunga,akaawambia wananchi wamchague,inamaana aje aendelee kutuibia? tumchague slaa awafilisi wote mali...
Wilbrod slaa ndio mtanzania na mwanakondoo pekee aliteuliwa na mwenyezi mungu kuja kuokoa kilio cha watanzania wengi masikini angalau hali yao ya kimaisha itengemae. mi ni ccm damu lkn cwezi kutetea upuuzi kisa mie ccm.nawaambia wa tz wenzangu kwamba its time for change.... lets change jmn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.