Labda alishawahi kuwa mc huko nyuma basi kama sivyo amesoma alama za nyakati, huyu jamaa anajiandaa vyema kwa kazi hiyo baada ya oktoba 31 kwani kila nikitafakari anayoyasema na ahadi anazotoa hana tofauti na mc kwenye sherehe anayetia madoido kama kusema "hii shela ya bibi harusi imeshonwa...
Huna muono ila una mahaba ya kutokutaka kuukubali ukweli, hao unaoona wanafaa wamejenga ushirika wa kuhakikisha nchi haikombolewi, mwingine wivu mwingine king'ang'anizi ingawa hata afya haimruhusu huku umma umeshamchoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.