Search results

  1. gillard

    Kwanini Ikulu haijawaalika watu hawa muhimu kwenye ripoti za madini?

    Kwa sababu wanajua sanaa na mazingaombwe wanayofanya hapo kwenye hiyo orodha kuna walimu wao, mambo yatabumbuluka.:D:D
  2. gillard

    Kazi ya Kikwete ni kuhudhuria kila msiba?

    Hapa naona chama kimoja tu kinatiririka, wacha niwatetee wasiokuwepo. Ukielewa kiswahili vizuri hupati shida. Nadhani neno "kila" linaitetea mada hii na aliyeileta. Jamani hata kama tumetumwa kutetea basi sio kila jambo, tusitafute "excuse", kwa hili la msiba wa hawa malaika Rais wetu amekosea...
  3. gillard

    Kazi ya Kikwete ni kuhudhuria kila msiba?

    Ukielewa kiswahili vizuri hupati shida. Nadhani neno "kila" linaitetea mada hii na aliyeileta. Jamani hata kama tumetumwa kutetea basi sio kila jambo, tusitafute "excuse", kwa hili la msiba wa hawa malaika Rais wetu amekosea, tumwambie ukweli ni msiba mzito sana, alipaswa kutuongoza...
  4. gillard

    Je, Mbowe alipataje cheti cha Form Four ilhali hajawahi kufanya na kufaulu mtihani huo?

    We Lizaboni, sijui bombi ii nyumbi ii usituhamishe kwenye mada kuu, BASHITE. Huyu ushahidi wote upo, tuanze nae, Mbowe atafuata hakuna shaka
  5. gillard

    Je, Mbowe alipataje cheti cha Form Four ilhali hajawahi kufanya na kufaulu mtihani huo?

    Ni kweli mkuu. Nadhani tungeanza kwanza na bashite mana ushahidi wooote upo
  6. gillard

    Zitto unapoteza kumbukumbu na sasa unawaambukiza watanzania, utaumbuka tena

    Mkuu kuna mengi tunayakumbuka, weka ushahidi hapa ili tukuelewe vizuri. Hatuwezi tu kushirikiana na wewe kumtuhumu Zitto bila facts, au ndio mapenzi ya Avatar yako hiyo nini mkuu:D:D:D
  7. gillard

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Kwa hotuba za Rais za hivi karibuni na kabisa za wiki hii nahisi kama tumefika mahala pameandikwa "Hakuna Njia" na hatuna maarifa mengine!:(o_O:eek:
  8. gillard

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Kwa sababu wananchi hatujui nguvu tuliyonayo, na kwamba sisi ndio tunaoifanya serikali iwepo. Sasa serikali inatumia udhaifu huo kufanya inavyotaka.
  9. gillard

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    "Mh Rais ni mkweli sana na yuko wazi" Mh! Hata mimi sina chama, Ila hapo kwenye bold umenishangaza sana, are you for real?
  10. gillard

    Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

    Pamoja na hayo yooote; Watu anaowateua Rais ina akisi Rais wetu ni wa aina gani. Safari hii tumepata Rais anayetumia kisawasawa udhaifu wa katiba kwa maslahi yake na si ya nchi. Tutafakari!!!
  11. gillard

    Ni aibu Kujipa matumaini kuwa iko siku CHADEMA itaongoza nchi

    Mh..sasa hapa tunazungumzia siku yoyote au 2020? Kichwa cha habari kinazungumzia siku isiyojulikana, content imejikita 2020:( Anyways, nakubaliana na wewe "hypothetically", japo hujaweka facts zozote kama una uhakika gani hayo hayafanyiki. Au unataka waje hapa kukujibu ujue mbinu zao? Pia...
  12. gillard

    Jakaya Kikwete: Simply put, we now risk compromising the future of an entire generation

    Doh! Sijui wapi nimesema Rais wetu mstaafu Kichaaa au nimemtabiria kuwa kichaa, asante kwa kunilisha maneno. Kilichoandikwa hapo sio utumbo kama unavyotafsiri wewe. Unaweza kumsoma kwenye twitter yake, bofya hapa:
  13. gillard

    Jakaya Kikwete: Simply put, we now risk compromising the future of an entire generation

    I am not certain what you were trying to insinuate here. So, mentioning Bashite has made you think I have lost my way? Anyways, it's your opinion, and I respect that.
  14. gillard

    Jakaya Kikwete: Simply put, we now risk compromising the future of an entire generation

    Yes we do, road map to "Tanzania ya Viwanda" and "absolutely free education".
  15. gillard

    Jakaya Kikwete: Simply put, we now risk compromising the future of an entire generation

    I think if you read the bottom sentence on his tweet's image, he talks about now. So, sounds like African conutries were on track during his regime?
  16. gillard

    Jakaya Kikwete: Simply put, we now risk compromising the future of an entire generation

    Mh! It kinda makes sense, doesn't it? He's been there, he knows how it's like, but I'm not saying that Hon. Kikwete was referring to our country. However, honestly, what we build now reflects the future of our kids. What do you think this young generation has learned and continue to learn from...
  17. gillard

    Misaada ya EU imerudi kwa masharti yaleyale, japo....

    Hiyo umesema wewe!:D:D
  18. gillard

    Misaada ya EU imerudi kwa masharti yaleyale, japo....

    Wao wenyewe wanaomba:D:D:D:D
Back
Top Bottom