Njia zote wanazotumia mafisadi kupitishia pesa za wananchi zimeanikwa hadharani na wakereketwa kilichopo sasa ni kutumia njia hii. Ninachojiuliza, hawa mawaziri siyo watu kama sisi? labda hawana nyama kama binadamu wengine. Nilibahatika kuiona nyumba aliyojenga hayati baba wa taifa kule butiama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.